ba haiwezi kupunguza chochote maana katiba imeandikwa na pia watu hawaifuati . Kuna baadhi ya vyama wameandika Katiba zao lakini bado hazifuatwi sema sie tuna shida tu.Katiba mpya itakayopunguza madaraka makubwa aliyopewa rais ndiyo dawa ya huu upuuzi unaoendelea TZ.
rudi maktaba ukasome upya katiba ya nchi.Kati
ba haiwezi kupunguza chochote maana katiba imeandikwa na pia watu hawaifuati . Kuna baadhi ya vyama wameandika Katiba zao lakini bado hazifuatwi sema sie tuna shida tu.
Tutafanya kosa kubwa kukitoa chama kabla ya kupitishwa kwa katiba mpya. Itakuwa kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi. Chadema ni wabaya kulikoKwanza ni kukitoa chama chakavu, pili blni kkdkuweka katiba imara yenye y katiba mpyataasisi mimara na tatu kutochagua vichaa kwenye uongozi
Nani amekwambia kuwa hizo hoteli za utalii ni kwa sababu ya Mama Samia? Fikiri na uwaze tena kwa upana zaidi, priority ya Zanzibar tangu kwenye miaka ya tisini ilikuwa ni kukuza utalii, haikuanza leo.Zanzibar kujengwa hotel za kitalii za bilions of dollar, kiwete kipindi anapendelea pwani kwenye uwekezaji wa viwanda pamoja na mashule hamkuona? Acheni ngebe
KATIBA MPYA.Ni wazi kuwa rais Magufuli aliipendelea sana wilaya ya Chato katika kupeleka maendeleo. Alijenga uwanja wa ndege wa kimataifa, alijenga hospitali kubwa ya rufaa ya kanda, alijenga chuo cha Veta, alianza kujenga hoteli ya nyota tatu, mipango ya kujenga uwanja wa mpira. Na mambo mengine mengi sana.
Haya mambo hayakuanza na Rais Magufuli, ni vile tu yeye aliyafanya kwa kiwango cha kushangaza.
Sasa siku nyingine atatokea kiongozi atafanya zaidi ya Magufuli alivyofanya. Nini kifanyike ili kuzuia Rais au kiongozi yoyote asiweze kufanya kitu kama hicho?
Huwachi uzushi wewe au ushahidi unao?Sema nini kifanyike kiongozi mzalendo kama Dkt Magufuli asije kuuawa? Maana furaha yenu ya kumuua Dkt Magufuli sasa hamfichi, mnajiachia kama vile watanzania ni vilaza hawajui, just wait 2025!