Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu,Taifa limepata hasara gani kiuchumi baada ya kuahirishwa kwa sherehe za muungano na mbio za mwenge kwa mwaka huu na fedha zote kuelekezwa kwenye covid-19.Kutakua na hasara gani endapo yote haya yakiendelea hivi hivi na fedha zile zikawa zinaelekezwa kwenye miradi ya maendeleo? naimani mwenge wa uhuru hauko kwenye katiba ya jamhuri ya muungano hivyo basi hata kama rais ikimpendeza akaufuta hatakua amevunja katiba aliyoapa kuilinda