BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,009
Zoezi la kutongoza na kutongozwa siku hizi limekuwa rahisi mno thanks 🙏🏾 to smart phones. Pia watu wake kwa waume hawana hofu tena kama wazazi wetu walivyokuwa na hofu. Siku hizi ME na KE wanaweza kujua yule mke wa mtu au mume wa mtu lakini wanashupaza shingo tu kutaka kunyanduana hakuna woga tena ahhhh! yule bidada mke wa mtu ngoja nicheze naye mbali au yule bwana Kaka ananitaka sana lakini mume wa mtu yule naogopa mie! 😜😜😜
Kumekuwa na wimbi la usaliti sana siku hizi na tumekuwa tukishuhudia visa hata humu JF kuhusu usaliti na kuachana kwa wanandoa wachumba au wapenzi sababu ni nyingi sana lkn unavyoona wewe sababu kuu hasa inaweza kuwa nini?