hili ndio jibu sahihi.Wazungu wanajichanganya sana na Waswahili! Lau kama shule zetu zingekuwa bora tungesoma hata na watoto wao! Wahindi sasa!!! Shule za Kihindi hindi!!! Kuchanganyika; na Wahindi hindi!! Mitaa wanayoishi; ya kihindi hindi!!!
Mkuu lazima uelewe wahindi so kama hawajuwi kiswahili vzr.Hili swali huwa linanishangaza sana! Muhindi ana zaidi hata ya miaka 30 au amezaliwa na kuzeekea hapa ila kuongea kiswahili kwa ufasaha ni shida kubwa.
Ila wazungu wanaokuja kwenye miradi au shughuli zingine kwa miaka mitano tu eneo analofanyia kazi ataijua lugha hiyo kwa muda mfupi, hata kama hapo zinatumiwa lugha zaidi ya moja zote atazijua na kuongea vizuri. Ila wahindi wengi wako mjini tena wana maduka makubwa yaani tunaingiliana sana kupitia biashara lakini kiswahili kwao ni shida.
Je, wewe unaona nini hupelekea hili?
Jf sihami walahiiTaka nini veve? Kwani swahili iko jua hindi?
Taka nini veve? Kwani swahili iko jua hindi?
Kujichanganya na utayari wa kujifunza na kujaribu.Hili swali huwa linanishangaza sana! Muhindi ana zaidi hata ya miaka 30 au amezaliwa na kuzeekea hapa ila kuongea kiswahili kwa ufasaha ni shida kubwa.
Ila wazungu wanaokuja kwenye miradi au shughuli zingine kwa miaka mitano tu eneo analofanyia kazi ataijua lugha hiyo kwa muda mfupi, hata kama hapo zinatumiwa lugha zaidi ya moja zote atazijua na kuongea vizuri. Ila wahindi wengi wako mjini tena wana maduka makubwa yaani tunaingiliana sana kupitia biashara lakini kiswahili kwao ni shida.
Je, wewe unaona nini hupelekea hili?