Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,270
- 105,440
Sasa kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaachia kuwepo na hadith zenye uongo?Mkuu,hadith yenyewe ni miongoni mwa mamia ya hadith dhaifu na ya uongo(maudhu'u).
Na kama kaachia hadith zenye uongo, unajuaje kama hajaachia Quran yenye uongo?
Na kama inawezekana Quran ina uongo, na unaamini Mungu yupo kwa sababu Quran imesema, unajuaje kwamba Quran inaposema Mungu yupo, haisemi uongo?