mike2k
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 1,458
- 3,127
Hello wakuu kuna kitu kinanichanganya sana...
Hivi ni nini hasa huwa kinafanya thamani ya gari kuwa kubwa mpaka kufikia mabilioni...mfano buggati cheron mpk bilion 10 na lina kaa watu wawili tu... Wakati noah inabeba watu 8 na sehem ya mizigo ipo....
Hivi ni nini hasa huwa kinafanya thamani ya gari kuwa kubwa mpaka kufikia mabilioni...mfano buggati cheron mpk bilion 10 na lina kaa watu wawili tu... Wakati noah inabeba watu 8 na sehem ya mizigo ipo....