Baba Watoto
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 393
- 278
Wanajamvi, heri ya mwaka mpya, ikiwa ni uzi wangu wa kwanza kwa mwaka huu wa 2016, nafikiri ni vyema tukaanzia nyumbani bila kukaa kwenye chama chochote cha siasa, bali kujadili kama wachunguzi/ wachambuzi wa mambo huru.
Kumekua na maneno na shughuli nyingi sana wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi kwa taifa la Tanzania, kiasi pia..
Kumekua na maneno na shughuli nyingi sana wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi kwa taifa la Tanzania, kiasi pia..