Je kuna matumaini ya kuwa italeta mageuzi ya kiuchumi?
M mstahiki JF-Expert Member Jul 14, 2007 308 4 Dec 29, 2007 #1 Je kuna matumaini ya kuwa italeta mageuzi ya kiuchumi?
Zitto Former MP Kigoma Urban Mar 2, 2007 1,562 10,876 Dec 29, 2007 #2 Nadhani ungetuoa mawazo/uchambuzi wako kwanza ili tuweze kuchangia. Vinginevyo kuna thread nyingi zinazoongelea masuala mbalimbali ya uongozi wa Kikwete.
Nadhani ungetuoa mawazo/uchambuzi wako kwanza ili tuweze kuchangia. Vinginevyo kuna thread nyingi zinazoongelea masuala mbalimbali ya uongozi wa Kikwete.
M Mwakilishi JF-Expert Member Jan 31, 2007 484 29 Dec 29, 2007 #3 Mwanaharakati, Kwani wewe mwenyewe unaonaje? Mimi naona mabadiliko yapo tatizo ni mabadiliko hasi na siyo chanya, sijui nimejibu swali lako?
Mwanaharakati, Kwani wewe mwenyewe unaonaje? Mimi naona mabadiliko yapo tatizo ni mabadiliko hasi na siyo chanya, sijui nimejibu swali lako?