Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Habari za maandalizi ya Christmas wadau.
Niende hapo juu. Itakumbukwa tarehe 07/12/2017, waasi wa ADF waliwashambulia wapigaji wetu kule Congo. Askari kadhaa waliuliwa, wengine kujeruhiwa na moja hajulikani alipo.
Je ikiwa kashikiliwa na adui jeshi letu na kambi zetu na siri nyingi za jeshi letu hazitajulikana na adui huyu? Je jeshi na sisi kama taifa tupo salama kweli?
Niende hapo juu. Itakumbukwa tarehe 07/12/2017, waasi wa ADF waliwashambulia wapigaji wetu kule Congo. Askari kadhaa waliuliwa, wengine kujeruhiwa na moja hajulikani alipo.
Je ikiwa kashikiliwa na adui jeshi letu na kambi zetu na siri nyingi za jeshi letu hazitajulikana na adui huyu? Je jeshi na sisi kama taifa tupo salama kweli?