bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,357
- 9,545
Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana mama yake atalia sana, huyu sio raisi tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mm nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Azory gwanda hakuwa na familia?
Ben saanane hajuwa na familia?
Lissu hakuwa na familia?
Rostam hakuwa na familia?
Hebu acheni machozi ya samaki nyie watu, eboooooh.