Nini hatma ya magari ya mizigo yaliyokamatwa Zambia?

May 28, 2017
6
5
A'aleykum!
Hivi serikali imefikia wapi kuhusiana na magari ya mizigo ya kitanzania yaliyokamatwa mpakani mwa Zambia na Tanzania (border). Kwa sababu serikali iliahidi itatoa majibu ndani ya masaa 72 lakini toka walivyosema hivyo hatukupewa majibu baada ya hayo masaa 72 kufika badala yake imekuwa ni zaidi ya mwezi sasa toka wamesema hivyo na wamekuwa kimya na hili suala halizungumziwi tena mpaka leo hii, sisi kama wamiliki wa magari hayo tunaiomba serikali itusaidie kwa hili kwani ni miezi 5 sasa toka hayo magari yakamatwe kutokana na kupakia mzigo wa magogo.
 
Yes bro ipo ya kwangu.@nanyupu
Wewe ni dereva au mmiliki wa chombo husika?

na wewe saiv uko wap uko zambia au uko tanzania?

Ulishawahi kuonana na wengine waliokamatwa kama wewe?

Na kwanini mlienda kuvuna magogi ya watu wewe hujui kama hivyo ni kuhujumu uchumi unatakiwa kutupwa lupango?

Then mwenye magogo alikuwa ni nan ni wewe au boss wako na ulikuwa unayapeleka wapi?


Nijibu hayo maswali ili nijue najuasaidiaje ostaz
 
Wewe ni dereva au mmiliki wa chombo husika?

na wewe saiv uko wap uko zambia au uko tanzania?

Ulishawahi kuonana na wengine waliokamatwa kama wewe?

Na kwanini mlienda kuvuna magogi ya watu wewe hujui kama hivyo ni kuhujumu uchumi unatakiwa kutupwa lupango?

Then mwenye magogo alikuwa ni nan ni wewe au boss wako na ulikuwa unayapeleka wapi?


Nijibu hayo maswali ili nijue najuasaidiaje ostaz
Duu utakuwa mwalimu wew nduki
 
Wewe ni dereva au mmiliki wa chombo husika?

na wewe saiv uko wap uko zambia au uko tanzania?

Ulishawahi kuonana na wengine waliokamatwa kama wewe?

Na kwanini mlienda kuvuna magogi ya watu wewe hujui kama hivyo ni kuhujumu uchumi unatakiwa kutupwa lupango?

Then mwenye magogo alikuwa ni nan ni wewe au boss wako na ulikuwa unayapeleka wapi?


Nijibu hayo maswali ili nijue najuasaidiaje ostaz
Ni mmiliki wa chombo husika.

Nipo Tanzania.

Yeah nilishaonana na baadhi wa wamiliki wengine lakini Walituambia hilo suala linashughulikiwa kwa hiyo tusubiri.

Mzigo hauna tatizo endapo kama kuna documentations ambazo madriver walipewa wote kuonyesha ni mzigo halali.

Wamiliki wa mzigo ni wachina.
 
Back
Top Bottom