Nini hatma ya Dreamliners?

Dreamliner ni moja ya aina za ndege zinazotengenezwa na kampuni ya Kimarekani ya Boeing.

Rais wetu huyu, tokea aingie madarakani kaweka moja ya vipaumbele vyake kulifufua shirika la ndege la taifa. Ufufuzi huo unaenda sambamba na ununuzi wa ndege, zikiwemo hizo zinazotengenezwa huko Marekani.

Sasa jana baada ya serikali ya Marekani kuweka kikwazo cha kusafiri dhidi ya baadhi ya Watanzania, serikali itajibu mapigo kwa kiwango gani?

Magufuli wakati mwingine huwa ni mtu wa mihemuko. Je, atasusa kuendelea kuzinunua hizo Dreamliners? Akizisusia Dreamliners atanunua ndege gani? AirBus?

Jumuiya ya Ulaya nao wakifuata mkondo wa Marekani je? Atasusa kuzinunua AirBus?

Akisusa kuendelea kuzinunua Dreamliners, hiyo iliyopo [hivi zipo ngapi kwani?] ataifanya nini? Ataiuza? Atairudisha?

Talk about being stuck in a rock and a hard place!

More like the rock [Jiwe] is now stuck in a hard place.
Mimi nashauri ninyi watanzania mnaoishi nchini Marekani mnaweza mkaisaidia nchi kutoka kwenye mkwamo huu. Ishaurini seriksli ya Marekani ibatilishe hivyo vikwazo (bans) na kama watagoma basi wote indokeni huko mrudi Tanzania.
Nadhani hapo mtakuwa mmewapa pigo kubwa sana wamarekani
 
Dreamliner ni moja ya aina za ndege zinazotengenezwa na kampuni ya Kimarekani ya Boeing.

Rais wetu huyu, tokea aingie madarakani kaweka moja ya vipaumbele vyake kulifufua shirika la ndege la taifa. Ufufuzi huo unaenda sambamba na ununuzi wa ndege, zikiwemo hizo zinazotengenezwa huko Marekani.

Sasa jana baada ya serikali ya Marekani kuweka kikwazo cha kusafiri dhidi ya baadhi ya Watanzania, serikali itajibu mapigo kwa kiwango gani?

Magufuli wakati mwingine huwa ni mtu wa mihemuko. Je, atasusa kuendelea kuzinunua hizo Dreamliners? Akizisusia Dreamliners atanunua ndege gani? AirBus?

Jumuiya ya Ulaya nao wakifuata mkondo wa Marekani je? Atasusa kuzinunua AirBus?

Akisusa kuendelea kuzinunua Dreamliners, hiyo iliyopo [hivi zipo ngapi kwani?] ataifanya nini? Ataiuza? Atairudisha?

Talk about being stuck in a rock and a hard place!

More like the rock [Jiwe] is now stuck in a hard place.
The rock and his followers including you are all stuck in hard place.
 
Dreamliner ni moja ya aina za ndege zinazotengenezwa na kampuni ya Kimarekani ya Boeing.

Rais wetu huyu, tokea aingie madarakani kaweka moja ya vipaumbele vyake kulifufua shirika la ndege la taifa. Ufufuzi huo unaenda sambamba na ununuzi wa ndege, zikiwemo hizo zinazotengenezwa huko Marekani.

Sasa jana baada ya serikali ya Marekani kuweka kikwazo cha kusafiri dhidi ya baadhi ya Watanzania, serikali itajibu mapigo kwa kiwango gani?

Magufuli wakati mwingine huwa ni mtu wa mihemuko. Je, atasusa kuendelea kuzinunua hizo Dreamliners? Akizisusia Dreamliners atanunua ndege gani? AirBus?

Jumuiya ya Ulaya nao wakifuata mkondo wa Marekani je? Atasusa kuzinunua AirBus?

Akisusa kuendelea kuzinunua Dreamliners, hiyo iliyopo [hivi zipo ngapi kwani?] ataifanya nini? Ataiuza? Atairudisha?

Talk about being stuck in a rock and a hard place!

More like the rock [Jiwe] is now stuck in a hard place.
Kuna uzi wako unasema his migo not amigo
 
Mungu ampe Magufuli busara ya mfalme Suleiman, amtimue Makonda afanye safari yake ya kwanza nje ya bara la Afrika aende akaombe msamaha bila hivyo kila mradi wake utabaki mashakani.
Unataka asafiri kwenda huko hakafu arudi kwenye boot ya ndege? Wacha mambo yako mkuu!
 
Naliona giza nene kwa ndege yetu pendwa. Hakuna kumodifayi kifaa chake chochote. Ukifanya hivyo tu dege haliinukii juu.
Hivi ni nani aliyetuloga jamani?? Watu hatuna uwezo wa kutengeneza pini tunawatukana kila uchwao; Mibeberu, mijibeberuuu. Haya, yametikisa kiberiti kidogo tu, sote tumekuwa mbuzi jikeee
 
Naliona giza nene kwa ndege yetu pendwa. Hakuna kumodifayi kifaa chake chochote. Ukifanya hivyo tu dege haliinukii juu.
Hivi ni nani aliyetuloga jamani?? Watu hatuna uwezo wa kutengeneza pini tunawatukana kila uchwao; Mibeberu, mijibeberuuu. Haya, yametikisa kiberiti kidogo tu, sote tumekuwa mbuzi jikeee

Mbuzi jike meeeeeee😂😂😂
 
Back
Top Bottom