Nini hatima ya Zanzibar na vitu vilivyotumika(Used)?

Alvajumaa

JF-Expert Member
Jul 5, 2018
4,953
6,071
Wakuu kwema?
Niende moja kwa moja kwenye maada,
Zanzibar imekua ikipokea vitu vingi vilivyotumika (used) kutoka sehemu mbali mbali , used assets zinatoka Dubai, UK n.k ,
Mfano wa vitu used kuna simu, makochi, Tv, fridge, magari n.k,
Kwa wale waliobahatika kufika unguja wataungana nami katika hili kwamba wenzetu wanapokea used nyingi sana, nenda pale mchina mwisho/Mombasa/Mpendae utaona jinsi fridge zinavyoshushwa kwa wingi ,
Nenda kule mjini sokoni darajani utaona jinsi jioni kulivyojaa vitu used yaani unaweza kupata simu nzuri kwa elfu 15 tuu...
Eneo la kilomita za mraba za Dar es salaam zimediwa robo tuu na Unguja, je kuna eneo la kutosha la kutupa zile used ambazo hazitaweza kutumika tena?
Kwa uelewa wangu vitu ambavyo ni used si vyote huingia sokoni kwa mteja yaani kununuliwa na mteja, vipo vingine vinabaki, je kuna sehemu ya kufanya recycling? Je kuna viwanda vya kuchakata Chuma chakavu?

Niweke wazi sipingi vitu ambavyo ni used maana nami ni mnufaika wa used,niliwahi kumnunulia fridge kaka yangu mwaka jana mpk leo linapiga mzigo halina shida kabisa

Ila kuna athari baada ya miaka kwenda mbele, je baada ya miaka 25 wenzetu washajiuliza watakua na uchafu kiasi gani ambao hautotumika popote pale ?
 
Kwahiyo unataka tupeleke uchafu wetu Dubai? Sisi bado ni tegemezi na tunapenda vitu vya ofa, usitegemee soko la vitu used kuja kukoma.

Ali baba, Amazon na mitandao mingine ya kuuza vitu kwa njia ya mtandao wana bidhaa zilizotumika ana bado ni bora kwa matumizi.

Ukipata simu ya 15, 000/= chukua nakuja kukupa hela.
 
Wakuu kwema?
Niende moja kwa moja kwenye maada,
Zanzibar imekua ikipokea vitu vingi vilivyotumika (used) kutoka sehemu mbali mbali , used assets zinatoka Dubai, UK n.k ,
Mfano wa vitu used kuna simu, makochi, Tv, fridge, magari n.k,
Kwa wale waliobahatika kufika unguja wataungana nami katika hili kwamba wenzetu wanapokea used nyingi sana, nenda pale mchina mwisho/Mombasa/Mpendae utaona jinsi fridge zinavyoshushwa kwa wingi ,
Nenda kule mjini sokoni darajani utaona jinsi jioni kulivyojaa vitu used yaani unaweza kupata simu nzuri kwa elfu 15 tuu...
Eneo la kilomita za mraba za Dar es salaam zimediwa robo tuu na Unguja, je kuna eneo la kutosha la kutupa zile used ambazo hazitaweza kutumika tena?
Kwa uelewa wangu vitu ambavyo ni used si vyote huingia sokoni kwa mteja yaani kununuliwa na mteja, vipo vingine vinabaki, je kuna sehemu ya kufanya recycling? Je kuna viwanda vya kuchakata Chuma chakavu?

Niweke wazi sipingi vitu ambavyo ni used maana nami ni mnufaika wa used,niliwahi kumnunulia fridge kaka yangu mwaka jana mpk leo linapiga mzigo halina shida kabisa

Ila kuna athari baada ya miaka kwenda mbele, je baada ya miaka 25 wenzetu washajiuliza watakua na uchafu kiasi gani ambao hautotumika popote pale ?
We mwenyew umeoa ama umeolewa ukiwa USED.......
 
Wakuu kwema?
Niende moja kwa moja kwenye maada,
Zanzibar imekua ikipokea vitu vingi vilivyotumika (used) kutoka sehemu mbali mbali , used assets zinatoka Dubai, UK n.k ,
Mfano wa vitu used kuna simu, makochi, Tv, fridge, magari n.k,
Kwa wale waliobahatika kufika unguja wataungana nami katika hili kwamba wenzetu wanapokea used nyingi sana, nenda pale mchina mwisho/Mombasa/Mpendae utaona jinsi fridge zinavyoshushwa kwa wingi ,
Nenda kule mjini sokoni darajani utaona jinsi jioni kulivyojaa vitu used yaani unaweza kupata simu nzuri kwa elfu 15 tuu...
Eneo la kilomita za mraba za Dar es salaam zimediwa robo tuu na Unguja, je kuna eneo la kutosha la kutupa zile used ambazo hazitaweza kutumika tena?
Kwa uelewa wangu vitu ambavyo ni used si vyote huingia sokoni kwa mteja yaani kununuliwa na mteja, vipo vingine vinabaki, je kuna sehemu ya kufanya recycling? Je kuna viwanda vya kuchakata Chuma chakavu?

Niweke wazi sipingi vitu ambavyo ni used maana nami ni mnufaika wa used,niliwahi kumnunulia fridge kaka yangu mwaka jana mpk leo linapiga mzigo halina shida kabisa

Ila kuna athari baada ya miaka kwenda mbele, je baada ya miaka 25 wenzetu washajiuliza watakua na uchafu kiasi gani ambao hautotumika popote pale ?
Kwani ukinunua simu mpya au Fridge jipya mwisho sio linakuwa used? Sio tuwaulize Zanzibar tu, Hata Bara jee huo uchafu utapelekwa wapi?
 
Wakuu kwema?
Niende moja kwa moja kwenye maada,
Zanzibar imekua ikipokea vitu vingi vilivyotumika (used) kutoka sehemu mbali mbali , used assets zinatoka Dubai, UK n.k ,
Mfano wa vitu used kuna simu, makochi, Tv, fridge, magari n.k,
Kwa wale waliobahatika kufika unguja wataungana nami katika hili kwamba wenzetu wanapokea used nyingi sana, nenda pale mchina mwisho/Mombasa/Mpendae utaona jinsi fridge zinavyoshushwa kwa wingi ,
Nenda kule mjini sokoni darajani utaona jinsi jioni kulivyojaa vitu used yaani unaweza kupata simu nzuri kwa elfu 15 tuu...
Eneo la kilomita za mraba za Dar es salaam zimediwa robo tuu na Unguja, je kuna eneo la kutosha la kutupa zile used ambazo hazitaweza kutumika tena?
Kwa uelewa wangu vitu ambavyo ni used si vyote huingia sokoni kwa mteja yaani kununuliwa na mteja, vipo vingine vinabaki, je kuna sehemu ya kufanya recycling? Je kuna viwanda vya kuchakata Chuma chakavu?

Niweke wazi sipingi vitu ambavyo ni used maana nami ni mnufaika wa used,niliwahi kumnunulia fridge kaka yangu mwaka jana mpk leo linapiga mzigo halina shida kabisa

Ila kuna athari baada ya miaka kwenda mbele, je baada ya miaka 25 wenzetu washajiuliza watakua na uchafu kiasi gani ambao hautotumika popote pale ?

Kuna yule Mbunge wa Mpanda kama sijakosea anaweza kufanya projection ya hiyo hali maana anawajua wazanzibari na zanzibar yao kuliko wanavyojijua

Baadhi ya nukuu zake ni:
Unaweza kuzunguka Zanzibar yote kwa baiskeli
Unaweza kuwakusanya wazanzibari wote kwa filimbi
Unaweza kuimulika zanzibar yote kwa tochi
 
Kwahiyo unataka tupeleke uchafu wetu Dubai? Sisi bado ni tegemezi na tunapenda vitu vya ofa, usitegemee soko la vitu used kuja kukoma.

Ali baba, Amazon na mitandao mingine ya kuuza vitu kwa njia ya mtandao wana bidhaa zilizotumika ana bado ni bora kwa matumizi.

Ukipata simu ya 15, 000/= chukua nakuja kukupa hela.
Sawa mkuu
 
Kuna yule Mbunge wa Mpanda kama sijakosea anaweza kufanya projection ya hiyo hali maana anawajua wazanzibari na zanzibar yao kuliko wanavyojijua

Baadhi ya nukuu zake ni:
Unaweza kuzunguka Zanzibar yote kwa baiskeli
Unaweza kuwakusanya wazanzibari wote kwa filimbi
Unaweza kuimulika zanzibar yote kwa tochi
Nadhani ni mbunge wa Nkasi mkuu,
 
Back
Top Bottom