Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni kwa Corona mnyasa Chirwa!Aliyefariki ni Sitta, Spika ni cheo kipo na kitaendelea kuwepo, labda ungeshauri igeuzwe kuwa makumbusho ya Spika wa Bunge.
Labda Kibaigwa wilayani kongwa!Iko kongwa sahv
Ova
WAulizwe chama tawalaKuna wakati bunge la JMT lilijenga ofisi ndogo ya Spika kule Urambo mkoani Tabora, wakati ule Spika alikuwa rip Sitta, Naibu Spika mama Makinda, KUB Hamad Rashid na KUB msaidizi Dr Slaa.
Nauliza tu kama ile ofisi bado inafanya kazi?
Kama haitumiki ni vema ikageuzwa kuwa zahanati wananchi wahudumiwe.
Maendeleo hayana vyama!
Bunge halina chama bwashee!WAulizwe chama tawala
Aisee Jokate anaenda lini chato? MatembeZi ya kiofisiBunge halina chama bwashee!
Kwa uhuni huu, hata tukikesha kanisani kumuombea Sitta ni ujinga mtupu. Apumzike anakostahili. Mbadhilifu mkubwa wa mali ya umma.Yaweza kuwa Zahanati kwa maboresho kidogoView attachment 1677060
Chumba kimojs kinatosha sana, mbona vijijini ndivyo zilivyo, wagonjwa wanasimama dirishani na mambo yanaendelea.Unajua hiyo ofisi ina ukubwa gani Hadi upendekeze iwe zahanati? Kama ni chumba kimoja inawezekanaje kuwa zahanati?
Weka picha ili tuione.
Mkuu kiongozi UMEFIKA wakati Mambo ya chato ,tuachane nayo kuyajadili ,tunatoa promo isiyokua ya lazima, let them do,as far is part of our tanganyika,kujadili wakati masikio yamezibwa ni kupoteza mda , acha pajengwe hata jumba la dhaabu haina shida Zama huja na pia hupotea tunayo Mambo yetu ya kitaifa,hasa mshikamano wa kitaifa ,katiba mpya, tume huru, haya ndo Mambo ya msingi, Kama hanijui chato KWA Sasa inatumika ili fifisha agenda muhim za kitaifa, na watanzania wenzangu tunaingia kichwa kichwa,that's why leo nimeshangaa ,na majirani wanatushangaa,kwamba prof mzima waziri wa maji anasema mradi wa bil 8 umekamilika chato na wa vijiji vitatu ,wakati tuna mradi TOKA ziwa Victoria kwenda shinyanga,may be up to makao makuu Dodoma unasuasua,Nadhan miaka 10 ijayo ule uwanja wa ndege kule chato tutageuza Zahanat pia
Sindano imewainhoa kila mkiheuka chato,mabwana zenu wakichomoa chato,mboga hamna chato,n.kWachina wana technologia ya kuhamisha majengo...lile libewe juu kwa juu nalo lihamishiwe chatial.
Hilo duka la dawa labda.Chumba kimojs kinatosha sana, mbona vijijini ndivyo zilivyo, wagonjwa wanasimama dirishani na mambo yanaendelea.
Ahsante mkuu!Yaweza kuwa Zahanati kwa maboresho kidogoView attachment 1677060