Nini hatima ya Nyerere Day? Lini mwisho wake?

Haina mwisho , mpaka Tanzania isipokuepo,na hiyo sio kwetu tu,,mataifa mengi kama China , Korea n.k wanafanya hivyo

Haina mwisho , mpaka Tanzania isipokuepo,na hiyo sio kwetu tu,,mataifa mengi kama China , Korea n.k wanafanya hivyo

Usidanganye china hawana Mao day hatahawataki kumsikia na ipo siku ccm wkitoka madarakni Nyerere day imekufa yapo maovu mengi ya Nyerere yana fichwa kwanza kunadhambi kubwa sana ya serikali ya ccm kufuta historia ya Tanganyika na machifu akina Mirambo na akina Mkwawa na kuja kumpachika Nyerer
 
Hakuna cha vyema apo,,,cpendi kuona wa2 wakinyanyacka na kuzulumiwa,,,hizo national housing inasemekana wahindi walijenga kwa hela zao babu akazitaifisha, ni mdini, hakuwa akiwapenda waisilamu. Hii ki2 mimi imenikera munoo.
Kweli lakini maana huwezi pendwa na wote
 
Huwa nakaa chini nafikiria sana juu ya Hatima yaani mwisho wa kumkumbuka au kumbukumbu ya Nyerere.

Leo inatimia miaka 22 bila Mwalimu tangu alipo tutoka tarehe na mwezi kama wa leo mnamo Mwaka 1999.



Maswali yangu juu ya Hatima hii leo imetimia miaka 22 pasipo kuwa na Nyerere.
Je, Mwaka gani utakuwa ni mwisho wa kumkumbuka ya Mwalimu? Je, hata miaka 2000 inayo tutaendelea kuwa na Nyerere Day au itakuja kufa.

Na je, kipi kinaweza kufanya Nyerere Day ikome kuadhimishwa?

Najua hapa wapo wenye IQ kubwa kama Zero IQ na Pia wapo wenye IQ ndogo kama Mimi. Hivyo kwa wenye IQ ndogo kama Mimi huenda wakapuuza nankuponda juu ya andiko hili.

Lakini kwa ndugu zangu mlio salia pengine mnaweza share chochote juu ya Hatima ya Nyerere Day na kuoendekeza je, huenda Mwaka/miaka gani inaweza kuwa Hatima ya Nyerere Day na sababu gani zinaweza fanya Nyerere Day ikome.
Maana sizani kama Nyerere Day itaadhimishwa miaka yote na sizani hata miaka 2000 au 3000 ijayo watu wataendelea kuadhimisha siku hii.

Je, nini Hatima ya Nyerere Day?


Siku ccm wakitoka madarakani inakufa kifo cha mende
 
Tujuze mkuu kivipi?

Kuingiza Tanzani katika vita na Ungada ili Rafiki yake Obote arudi Madarakani baada ya kupinduliwa pale ndipo maisha yalibadilika mpaka leo alitwambia TUFUNGE MIKANDA MIEZI 18 mpaka leo haijamalizika bado twaufunga mkanda tunasubiri atakaposema tufungue mkanda.
 
Kweli lakini maana huwezi pendwa na wote

Kiongozi yoyote anaetenda haki bila kujari udini, utaifa wa mtu, ukabila huyu ndiye anafaa kuitwa kiongozi. Refer historia ya Ertugrul ambayo ni true stoty, akiwatendea haki waisilamu wenzie na waco waisilamu, (haki ni haki tuu) hakuna zulma, unyanyasaji wala mauwaji kwa waco na hatia. kama unaifuatiria vyema utagundua viongozi wetu bado sana kufika huko. Mama samia tunamuombea heri Mungu amuongoze katika majukumu yake, ni mama asiye na makuu na mutu.
 
Kiongozi yoyote anaetenda haki bila kujari udini, utaifa wa mtu, ukabila huyu ndiye anafaa kuitwa kiongozi. Refer historia ya Ertugrul ambayo ni true stoty, akiwatendea haki waisilamu wenzie na waco waisilamu, (haki ni haki tuu) hakuna zulma, unyanyasaji wala mauwaji kwa waco na hatia. kama unaifuatiria vyema utagundua viongozi wetu bado sana kufika huko. Mama samia tunamuombea heri Mungu amuongoze katika majukumu yake, ni mama asiye na makuu na mutu.
Kwa sasa hakuna wala hatakuja kiongozi ambae hana upendeleo sehemu moja kwa namna moja au nyingine.
Hata Samia nae analaumiwa hivyo hivyo
 
Kuingiza Tanzani katika vita na Ungada ili Rafiki yake Obote arudi Madarakani baada ya kupinduliwa pale ndipo maisha yalibadilika mpaka leo alitwambia TUFUNGE MIKANDA MIEZI 18 mpaka leo haijamalizika bado twaufunga mkanda tunasubiri atakaposema tufungue mkanda.
Dah ngoja tuendelee kufunga mikanda
 
Mi naona timu chato watahamisha magoli wafosi mtu wao ndo awe mzee wa taifa...leo si unaona Nyerere day ila kumbukumbu imefanyikia chato badala ya butiama.
 
Mi naona timu chato watahamisha magoli wafosi mtu wao ndo awe mzee wa taifa...leo si unaona Nyerere day ila kumbukumbu imefanyikia chato badala ya butiama.
Je, Rais aliye hudhuria makamu wake na waziri mkuu nao mi watu wa chato?
 
S
Samia day
Majaliwa day
Mpango day n.k

Yaani tutakuwa tunapumzika tuuuuu
Siku za kuishi mwanadamu hazina formula.
Hao unawaona kama ni wazee, ila muda wao wa kufa waweza fika wakati wewe uliahasahaulika mamiaka!
 
Huwa nakaa chini nafikiria sana juu ya Hatima yaani mwisho wa kumkumbuka au kumbukumbu ya Nyerere.

Leo inatimia miaka 22 bila Mwalimu tangu alipo tutoka tarehe na mwezi kama wa leo mnamo Mwaka 1999.



Maswali yangu juu ya Hatima hii leo imetimia miaka 22 pasipo kuwa na Nyerere.
Je, Mwaka gani utakuwa ni mwisho wa kumkumbuka ya Mwalimu? Je, hata miaka 2000 inayo tutaendelea kuwa na Nyerere Day au itakuja kufa.

Na je, kipi kinaweza kufanya Nyerere Day ikome kuadhimishwa?

Najua hapa wapo wenye IQ kubwa kama Zero IQ na Pia wapo wenye IQ ndogo kama Mimi. Hivyo kwa wenye IQ ndogo kama Mimi huenda wakapuuza nankuponda juu ya andiko hili.

Lakini kwa ndugu zangu mlio salia pengine mnaweza share chochote juu ya Hatima ya Nyerere Day na kuoendekeza je, huenda Mwaka/miaka gani inaweza kuwa Hatima ya Nyerere Day na sababu gani zinaweza fanya Nyerere Day ikome.
Maana sizani kama Nyerere Day itaadhimishwa miaka yote na sizani hata miaka 2000 au 3000 ijayo watu wataendelea kuadhimisha siku hii.

Je, nini Hatima ya Nyerere Day?
Hii siku ipo tu labda pale kiongozi mwehu akichukua nchi aifute

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Huwa nakaa chini nafikiria sana juu ya Hatima yaani mwisho wa kumkumbuka au kumbukumbu ya Nyerere.

Leo inatimia miaka 22 bila Mwalimu tangu alipo tutoka tarehe na mwezi kama wa leo mnamo Mwaka 1999.



Maswali yangu juu ya Hatima hii leo imetimia miaka 22 pasipo kuwa na Nyerere.
Je, Mwaka gani utakuwa ni mwisho wa kumkumbuka ya Mwalimu? Je, hata miaka 2000 inayo tutaendelea kuwa na Nyerere Day au itakuja kufa.

Na je, kipi kinaweza kufanya Nyerere Day ikome kuadhimishwa?

Najua hapa wapo wenye IQ kubwa kama Zero IQ na Pia wapo wenye IQ ndogo kama Mimi. Hivyo kwa wenye IQ ndogo kama Mimi huenda wakapuuza nankuponda juu ya andiko hili.

Lakini kwa ndugu zangu mlio salia pengine mnaweza share chochote juu ya Hatima ya Nyerere Day na kuoendekeza je, huenda Mwaka/miaka gani inaweza kuwa Hatima ya Nyerere Day na sababu gani zinaweza fanya Nyerere Day ikome.
Maana sizani kama Nyerere Day itaadhimishwa miaka yote na sizani hata miaka 2000 au 3000 ijayo watu wataendelea kuadhimisha siku hii.

Je, nini Hatima ya Nyerere Day?

Hivi unaelewa ulichoandika au ulikuwa umesinzia?
 
Back
Top Bottom