papaayenga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 765
- 501
Haina mwisho , mpaka Tanzania isipokuepo,na hiyo sio kwetu tu,,mataifa mengi kama China , Korea n.k wanafanya hivyo
Haina mwisho , mpaka Tanzania isipokuepo,na hiyo sio kwetu tu,,mataifa mengi kama China , Korea n.k wanafanya hivyo
Usidanganye china hawana Mao day hatahawataki kumsikia na ipo siku ccm wkitoka madarakni Nyerere day imekufa yapo maovu mengi ya Nyerere yana fichwa kwanza kunadhambi kubwa sana ya serikali ya ccm kufuta historia ya Tanganyika na machifu akina Mirambo na akina Mkwawa na kuja kumpachika Nyerer