CHA The GREAT
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 651
- 853
Nimekuwa na shauku ya kujua nini kitafanyika kuhusiana na jina la sasa la 'Airtel'..kwamba itakapotokea TTCL imeichukua kampuni hiyo, je, jina litaendelea kuwa lilelile au litabadilishwa? Ifahamike, jina la Airtel linatokea na lina asili ya India.
Je, wafanyakazi wanaotumikia idara ya huduma kwa wateja 'call center' ya Airtel na ambao wapo chini ya kampuni ya uwakala wa ajira (outsourcing company) inayoitwa ISON BPO, nao hatima yao itakuaje?---Keep in mind, wafanyakazi wote wa idara ya huduma kwa wateja wote wanaohudumia wateja wa Airtel hawana mkataba wa ajira na Airtel, bali wana mkataba na kampuni hiyo ya uwakala wa ajira, inayoitwa ISON BPO. Kadhalika ISON BPO asili yake ni India.
Je, wafanyakazi wanaotumikia idara ya huduma kwa wateja 'call center' ya Airtel na ambao wapo chini ya kampuni ya uwakala wa ajira (outsourcing company) inayoitwa ISON BPO, nao hatima yao itakuaje?---Keep in mind, wafanyakazi wote wa idara ya huduma kwa wateja wote wanaohudumia wateja wa Airtel hawana mkataba wa ajira na Airtel, bali wana mkataba na kampuni hiyo ya uwakala wa ajira, inayoitwa ISON BPO. Kadhalika ISON BPO asili yake ni India.