MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,474
Habari za mchana wana JF,
Wakati nikiwa napambana na hali yangu nimewaza tu out of curiosity maana na asili ya maneno maarufu ya MAMBO na POA.
Mara nyingi yamekua yametumika na watu zaidi mijini ambapo kama haujui sababu za matumizi yake unaweza ukafikiri watu wanayoyatumia ni punguwani hivi.
Kimsingi, yanatumika kama salamu na majibu yake, lakini kwangu mimi salamu nadhani inatanabaisha mambo kadha wa kadha kwa yule anayesalimiwa kama: hali ya afya na usalama.
Hivyo basi, kwangu mimi nahisi haya maneno ni moja kati ya maneno ya mtaaani yaliyodumu kwa muda mrefu.
Naomba kujuzwa.
Wakati nikiwa napambana na hali yangu nimewaza tu out of curiosity maana na asili ya maneno maarufu ya MAMBO na POA.
Mara nyingi yamekua yametumika na watu zaidi mijini ambapo kama haujui sababu za matumizi yake unaweza ukafikiri watu wanayoyatumia ni punguwani hivi.
Kimsingi, yanatumika kama salamu na majibu yake, lakini kwangu mimi salamu nadhani inatanabaisha mambo kadha wa kadha kwa yule anayesalimiwa kama: hali ya afya na usalama.
Hivyo basi, kwangu mimi nahisi haya maneno ni moja kati ya maneno ya mtaaani yaliyodumu kwa muda mrefu.
Naomba kujuzwa.