mashinetata
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 378
- 858
Habari za mchana wakuu?
Nimekuwa nikifatilia uuzwaji wa magari hasa katika page za instagram na facebook za madalali, baadhi ya thread humu jamvini na hata katika majukwaa ya minada kama kupatana n.k.
Lengo la kuandika huu uzi ni kupata ukweli wa kuhusu chanzo au sababu ya magari aina ya TOYOTA BREVIS kuwa na bei ndogo katika maeneo hayo tofauti na yakiwa mapya.
Nini sababu ya bei yake kushuka sana?
Nini sababu ya watu kutoa onyo kali endapo mtu akionesha hatua ya kutaka kumiliki gafi hizi?
Nimekuwa nikifatilia uuzwaji wa magari hasa katika page za instagram na facebook za madalali, baadhi ya thread humu jamvini na hata katika majukwaa ya minada kama kupatana n.k.
Lengo la kuandika huu uzi ni kupata ukweli wa kuhusu chanzo au sababu ya magari aina ya TOYOTA BREVIS kuwa na bei ndogo katika maeneo hayo tofauti na yakiwa mapya.
Nini sababu ya bei yake kushuka sana?
Nini sababu ya watu kutoa onyo kali endapo mtu akionesha hatua ya kutaka kumiliki gafi hizi?