Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,347
- 11,446
Pole sana... Kama Upanga ni bush mwembechai sijui panaitwaje.mi sioni tatizo la wao kuukana uungu wa Yesu. Suala ni kuwa kuna wahuni walidanganywa wakapata kipigo kibaya sana...hawajataka kurudia tena uhuni...si ndo mambo ya kibiti hayo unasahau? CCM ipo makini sana na wapuuzi kadhaa wanaotaka kutumika.sasa njoo na wewe na Jini mtaka damu uone serikali itafanyaje 😁😁😁😁
Sio walitest mitambo, walitaka Ruhusa ya kukana Uungu wa Yesu na wakapewa na Mahakama kuu, enzi hizo ulikuwa bush