Nini hasa kilisababisha vurugu za Mwembechai mwaka 1998?

Harakati hazikamiliki kwa Siku moja ya kufa kwa shekh Rogo. Kufa kwake mwaka 2012 na kumfanya maarufu Afrika Mashariki hakumfanyi kuwa yeye alianza harakati wakati wa umauti wake.
Alishaweka mitandao kwa tao LA Afrika Mashariki mpaka huo mwaka was 2012

Kifo cha shekh Rogo mwaka 2012 na kusikika umaarufu wake kwa mwaka huo haimaanishi kuwa harakati zake zilianza mwaka huo wa 2012.
Mpaka kufikia mwaka was 2012 alishaonekana hatariii kwa Afrika Mashariki kwani alishakuwa na mtandao mkubwa. Nikikumbuka jina shekh mmoja aliyekuwa Mwanza aliyekuwa na ushawishi mkubwa ambaye naye kifo chake n utata ntakutajia ambapo ndipo Mara nyingi mawasiliano yalifanyika kwakile ambacho wao walikiamini.
Kwa bahati Serikali iliwawahi na kuzima vuguvugu baya kabla ya kukomaa
Shehe Ilunga Kapungu.Hao jamaa walikuwa na nia mbaya
 
Mkuu mimi sitakaa kimya labda uanze wewe kukaa kimya
Masikio yasizidi kichwa, waislamu sisi huwa tunavuka mipaka yetu wewe ulishasikia chokochoko za wenzetu wakristu, kila siku sisi tunaona kama tunaonewa sasa. Sasa swali tunaonewa vipi ili hali kuna Uhuru wa kuabudu wa kutosha tu??

Tumekuwa watu wa kulalamika sana,!! Tumuabudu mungu katika imani
Wakristu siyo watu wazuri wameanza mambo ya ushoga.Wakristo ndo wakutolea mfano .basi
 
Back
Top Bottom