Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

Ndio maana mzee wangu aliwahi kunihusia fanya kaz zote ila nyagu, ujeda na ushushu usifanye. Nikisoma habar km hiz naiona kabisa busara ya mzee wangu. Mungu azidi kumuongezea umri zaid mzee choupa moting.
Mkuu kazi nyingine zipo automatically kwenye damu za watu,

Embu jiulize wanajeshi wangapi tunawaona kwenye tv wanauwawa lakini kila inapo tokea nafasi makumi ya watu wanaenda kujiunga? Kazi nyingine zipo kwenye damu
 
Mkuu kazi nyingine zipo automatically kwenye damu za watu,

Embu jiulize wanajeshi wangapi tunawaona kwenye tv wanauwawa lakini kila inapo tokea nafasi makumi ya watu wanaenda kujiunga? Kazi nyingine zipo kwenye damu

Kujiunga kaz kwa wingi sio ishara ya kuipenda kaz. Kwa maisha ya sasa yalivyo magumu tunaochagua kaz ni wachache sana.
 
Mtu ambae anakimbizwa Na akapigwa Risasi akijaribu kukimbia Sio rahisi kupigwa Risasi ya kifuani Kwa mbele

Ukisikia story Kuwa alipigwa Risasi Kwa mbele maana yake inatengenezwa Mazingira ionekane alikuwa anakabiliana nao wakaona wamuwahi

Yule Mama hakuwa target no. 1

Huwezi kuanza kufanya jitihada Za kuficha ushahidi kabla ya kufanya uhalifu

Kwanz unafanya uhalifu then unaficha ushahidi kwenye kuficha ushahidi inawezekana ukachemka kutokana na Mazingira Na extent ya uhalifu uliofanya
Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom