Aisee nimechemka kwenye ram na vramkama unamaanisha requirements , inahitaj atleast
32GB Hdd
6 Gb ram
2 Gb vram
3.2 ghz cpu
dx11
Hii game sikuipenda kabisa...nilifuta kabisawale wapenzi wa open world games na gta v , baada ya kuona video youtube ya gameplay ya madmax nikaona sio shida nikaidownload na kuiinstall nijionee, naam nilichokuwa nakitafuta nimekipata , gameplay iko vizur.graphics kali , story nayo pia ni nzur , kuna mambo mengi ya kufanya na map nikubwa naweza kusema mara 3 ya ile ya gta v , kama umeiona movie nna uhakika utaipenda maradufu hii game, unaweza kuipata fitgirl repacks au skidrow reloaded ,
Kweli mkuu ila naona pc yangu ni ndogo 2gb ram ila najipanga ninunue mashine ya ukweliunaweza kuforce kwa very low setting na ukilower resolution ila hautaenjoy game
Nilijigundua sipend game za aina ile mkuu..so far kuna watu wanaipenda lakinungeipa muda , mwanzon ni ngumu kuielewa