Nini faida ya majungu?

American lady

Member
Jan 9, 2010
71
2
Dawa ya majungu! Hodi wajameni ktk jukwaa la maoni.maisha yanasogea tu na mambo yanabadilika lkn jambo moja tu linanisumbua kuhusu hawa sijui niwape jina gani labda wapika majungu.unakuta mtu mmefahamiana labda kazini kwa muda mfupi sn basi ukaamuakuhama kwenda sehemu nyingine baada ya muda huku nyuma unasikia yule aliyekuwa rafiki yk wa karibu anakuchafulia jina lako kwa maneno ya uongo.naombeni mnisaisaidie watu km hawa dawa yao ni nini?au tuwaweke ktk kundi gn maana watu km hawa lzm watakuwa na matatizo sn katika jamii.
 
Dawa ya majungu! Hodi wajameni ktk jukwaa la maoni.maisha yanasogea tu na mambo yanabadilika lkn jambo moja tu linanisumbua kuhusu hawa sijui niwape jina gani labda wapika majungu.unakuta mtu mmefahamiana labda kazini kwa muda mfupi sn basi ukaamuakuhama kwenda sehemu nyingine baada ya muda huku nyuma unasikia yule aliyekuwa rafiki yk wa karibu anakuchafulia jina lako kwa maneno ya uongo.naombeni mnisaisaidie watu km hawa dawa yao ni nini?au tuwaweke ktk kundi gn maana watu km hawa lzm watakuwa na matatizo sn katika jamii.


Balimwengu ndivyo walivyo.

Kuna watu wanaosikia raha duniani kwa kuongea zaidi ya wengine kuliko yao. Kuna wale ambao wakisema baya la mwingine ndio linamwongezea uhai kwake pengine kwa kudhani ataonekana yeye anafaa kuliko mwenzake.
We baache basemeee, mwishoe batachoka beyewe, endeleza Sikinde.... na mambo yako yatakuwa BYEEEEEEEEE. Hakuna aliyekufa kwa majungu, majungu sio mtaji, haubadili maisha....
 
Ni kupata utapiamlo na utindio wa ubongo na hapa JF kuna watu wengi naona wamepata faida hizi za majungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom