MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kuyaremba ninakomaanisha hapa ni kuyaweka nakshi nakshi za kila aina, Mbwembwe nyingi, kuyapiga Picha na Kuwaringishia Watu Mitandaoni mpaka kutaka hata kuyawekea Taa na AC ndani yake.
Na kinachonishangaza na kuniachia Maswali mengi ni pale ninapoona Msiba fulani Kaburi linafanyiwa Mbwembwe zote hizi ambazo zinatumia Gharama Kubwa na Marehemu akishazikwa tu Dhiki inaanza Kuiandama Familia yake.
Kama kuna tofauti ya Marehemu anayezikwa Kikawaida tu na Yule anayezikwa kwa Mbwembwe katika Makaburi yao tofauti naomba nijulishwe / nielimishwe kwani huenda hawa ambao Makaburi yao yanajengwa kwa Mbwembwe ndiyo Mwenyezi Mungu huwahi kuwapokea na Kuwasamehe upesi Dhambi zao walizozifanya wakiwa Hai duniani.
Na kinachonishangaza na kuniachia Maswali mengi ni pale ninapoona Msiba fulani Kaburi linafanyiwa Mbwembwe zote hizi ambazo zinatumia Gharama Kubwa na Marehemu akishazikwa tu Dhiki inaanza Kuiandama Familia yake.
Kama kuna tofauti ya Marehemu anayezikwa Kikawaida tu na Yule anayezikwa kwa Mbwembwe katika Makaburi yao tofauti naomba nijulishwe / nielimishwe kwani huenda hawa ambao Makaburi yao yanajengwa kwa Mbwembwe ndiyo Mwenyezi Mungu huwahi kuwapokea na Kuwasamehe upesi Dhambi zao walizozifanya wakiwa Hai duniani.