Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,856
faida hutegemeana na nafasi uliyoishikilia tofauti na hapo madeni yatakuuua hasa awamu hii ya viwanda
Wanajamvi natumai mnaendele vyema
Na wale wanaofanya kazi katika sekta binafsi na serikalini heshima kwenu pia ktk sikuu hii adimu kabisaa
Naomba nijikite kwa wale watumishi wa umma pekee yenuu.
Mnisaidiee faida za kufanya kazi serikalinii
Natumai mtanipa ushirikiano kwenye mada tajwa hapo juuu.
Ahsanteni naomba kuwasilisha
Kuishi kwa mashaka kama panya buku,ukimuona mkuu wa mkoa/wilaya pressure inapanda na kupiga sim home wasikuwekee share ya msosi,huenda unaweza kulala sero
Nadhani kuajiriwa ni kukubaliana na matakwa ya bosi wako au taasisi yako. Kujiajiri ndio mpango mzima maana utaajiri wa kwako. Hivyo basi, serikalini au binafsi kote ni utumwani,#hakuna_jela_tamu.
Serikalini pia ; lazima ushoboke tu!!! vinginevo hutakaa usome tena, hutapanda daraja, nafasi nzuri hupati, kazi za hovyo utapewa, mara umepitishwa kwenye fungu la wafanyakazi hewa ukiuliza sorry tulipitiwa, tupe muda turekebishe! rekebishaaaa, rekebisha na wewe!!Unafanya kazi bila stress wala Kuogeshwa na mtu, .. pia uhakika wa maisha ukweli ndio huo, private bila kumshobokea boss... unaondolewa any time
Nyaru-sare sasa kosa langu ni nini jmn?Ingia serikalini ndo utaona faida zake
Sorry Baby!! watoto hawa!!! nina ka- female cute baby hapa nakwambia!!Nyaru-sare sasa kosa langu ni nini jmn?