Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Wife toka last week anataka nimnunulie Toyota Premio ya 2007. Nimeiangalia hii gari engine yake ni 1990 CC, D4.
Kuna kipindi mafundi wengi walikuwa wanaziogopa sana engine za D4. Je, wadau mnafahamu nini uzuri au ubaya wa engine hizi?
Na pia katika suala la fuel consumption hizi gari zikoje? Maana najua dereva yeye ila mnunuzi wa fuel nitakuwa mimi kama kawaida ya wake zetu, though naye anaenda kazini kama mimi.
Kuna kipindi mafundi wengi walikuwa wanaziogopa sana engine za D4. Je, wadau mnafahamu nini uzuri au ubaya wa engine hizi?
Na pia katika suala la fuel consumption hizi gari zikoje? Maana najua dereva yeye ila mnunuzi wa fuel nitakuwa mimi kama kawaida ya wake zetu, though naye anaenda kazini kama mimi.