Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,974
- 13,610
Mwanzo nilifikiri ni allergies. Nikaacha kumpa baadhi ya chakula. Mazowa nyama na samaki lakini wapi. Nimempima mpaka ukoma japo hatuna historian ya kuwa na huo ugonjwa kwenye kizazi chetu.
Kashatumia dawa za Aina nyingi bila mafanikio. Ndio nikaona nije hapa labda naweza kupata ushauri na Tiba kabisa. Myoto Ana miaka mi3 Kwa Sasa.
Kashatumia dawa za Aina nyingi bila mafanikio. Ndio nikaona nije hapa labda naweza kupata ushauri na Tiba kabisa. Myoto Ana miaka mi3 Kwa Sasa.