Trayvess Daniel
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 564
- 1,090
Habari wanajamvi,
Nimeguswa mno na hii hali ya utimu inayoendelea.
Nini chimbuko la hizi teams?
Nani ni mchochezi kati ya wahusika na mashabiki?
Wahusika wamewahi toa tamko lolote kuhusu hali inayoendelea? tamko lipi?
Sisi wadau tunataka hatma ya hizi teams iwe nini?
MTAZAMO WANGU
Hizi timu zinakoelekea zinajenga chuki na mipasuko baina ya wasanii husika na wapambe, jambo ambalo ni adui wa kukua kwa muziki wetu. Kiba akipanda kwa juhudi zake binafsi na support ya mashabiki wake nini kitapungua? Sio lazima mtu mwingine ashushwe. Diamond akishuka kimuziki nini faida haswa? Ni lazima kulinganisha Uwezo wa hawa wawili tena pasipo na tija?
MAONI
Mashabiki tuna uwezo wa kuua au kukuza muziki wetu, ifike hatua tuache ushabiki na tutatue tatizo lilipo baina ya hawa wawili kwani kila mmoja ana umuhimu wake.
kukomoa sio njia ya kusolve tatizo especially kwa watu wenye busara na malengo.
Tofauti za kimitazamo, malengo, utumiaji fursa, ubunifu.Ni kitu kikubwa kinachoweza kutofautisha watu wawili wanaofanya kitu cha aina moja. alikiba ni muimbaji mzuri na diamond ni daraja zuri kwa Muziki wetu kutambulika kimataifa na hata wasanii wengine kupenya tuongeze idadi kama wanigeria.
wachangiaji tutoe michango ya kujenga, hapa tunasolve tatizo na sio kulaumu au ushabiki. Na ukileta lawama ni vema ukaweka ushahidi na chanzo husika.
NAWASILISHA.
Nimeguswa mno na hii hali ya utimu inayoendelea.
Nini chimbuko la hizi teams?
Nani ni mchochezi kati ya wahusika na mashabiki?
Wahusika wamewahi toa tamko lolote kuhusu hali inayoendelea? tamko lipi?
Sisi wadau tunataka hatma ya hizi teams iwe nini?
MTAZAMO WANGU
Hizi timu zinakoelekea zinajenga chuki na mipasuko baina ya wasanii husika na wapambe, jambo ambalo ni adui wa kukua kwa muziki wetu. Kiba akipanda kwa juhudi zake binafsi na support ya mashabiki wake nini kitapungua? Sio lazima mtu mwingine ashushwe. Diamond akishuka kimuziki nini faida haswa? Ni lazima kulinganisha Uwezo wa hawa wawili tena pasipo na tija?
MAONI
Mashabiki tuna uwezo wa kuua au kukuza muziki wetu, ifike hatua tuache ushabiki na tutatue tatizo lilipo baina ya hawa wawili kwani kila mmoja ana umuhimu wake.
kukomoa sio njia ya kusolve tatizo especially kwa watu wenye busara na malengo.
Tofauti za kimitazamo, malengo, utumiaji fursa, ubunifu.Ni kitu kikubwa kinachoweza kutofautisha watu wawili wanaofanya kitu cha aina moja. alikiba ni muimbaji mzuri na diamond ni daraja zuri kwa Muziki wetu kutambulika kimataifa na hata wasanii wengine kupenya tuongeze idadi kama wanigeria.
wachangiaji tutoe michango ya kujenga, hapa tunasolve tatizo na sio kulaumu au ushabiki. Na ukileta lawama ni vema ukaweka ushahidi na chanzo husika.
NAWASILISHA.