Range rover
Senior Member
- Nov 22, 2016
- 186
- 195
Baada ya kuwaza na kutafakari matatizo, shida na raha, nikaamua kujiuliza labda wenzangu mnaweza nisaidia kufikiri.
Hivi ni nini chanzo cha kuwa na hivi Vyama vya Siasa?
Ikiwa wakoloni walitutawala na walikuwa na kiongozi lakini hawakuwa na chama wala hawakugombania kukaa ikulu na walikuwa na jeshi lao, Polisi, n.k, lakini walikuwa peace kuhakikisha wanatu-control, ila baada ya kutuachia nchi, angalia afrika nzima ni vyama vya siasa, ni vita, civil war kila angle ya bara na hapo tunajiongoza wenyewe.
Ninauliza, nini umuhimu wa siasa huku Afrika?
Hivi ni nini chanzo cha kuwa na hivi Vyama vya Siasa?
Ikiwa wakoloni walitutawala na walikuwa na kiongozi lakini hawakuwa na chama wala hawakugombania kukaa ikulu na walikuwa na jeshi lao, Polisi, n.k, lakini walikuwa peace kuhakikisha wanatu-control, ila baada ya kutuachia nchi, angalia afrika nzima ni vyama vya siasa, ni vita, civil war kila angle ya bara na hapo tunajiongoza wenyewe.
Ninauliza, nini umuhimu wa siasa huku Afrika?