Inaonyesa kuwa wasichana wengi wa kizazi cha sasa wamefanya fasheni katika tendo hili la utoaji mimba hali ambayo inapelekea kutokea kwa vifo vingi vya mabinti hapa nchini.Je nn chanzo cha utoaji mimba uliokithiri kwa mabinti wa kizazi cha sasa?
Chanzo ni wanaume viwembe wanaopiga mashine pila sox na kuvipachika mimba vibinti vidogo kwa umri kama binti zao wa kuwazaa ambao wengi wao ni wanafunzi wa primary,sec na hata vyuo..matokeo yake vibinti inabidi vichoropoe mimba ili viendele na masomo bila kero
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.