miss wa kinyaru
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 542
- 356
Nilishajaribu kufanya research nikaona wanawake wengi wasagaji ni wale walioumizwa sana na wanaume, na hata ukijaribu kuwaulizia watakuambia wanaume wa siku hizi ni pasua vichwa bora niwe msagaji sitaki tena kuumizwa na wanaume. So sababu kubwa ya usagaji ni wanaume kuwaumiza wanaamua bora wawe wasagaji