hii nne ni four some ama aje we kongosho.
Mumeo unampa tigo?
wewe unataka umpe nani? hawala ndiye wakula tingo na simumeo? maadili yamepotea kabisa tumrudieni Mungu tena kwa kufunga, toba na maombi kwa sana
mmmh, bora hata ungemtizama usoni unayeongea naye.
Jf akili kumkichwa, people preach what they don't practice.
Wamereverse, siku hizi ni 'talk the walk'
Umeona eeh, waumini wanaweza ambukiza wachungaji baadhi ya dhambi! LOL
The Second Law of Thermodynamics. In a closed system, unless redressed, entropy always increases and strangeness become normal until normal become strangeness, till nightfall and the big crunch.
Same reason why if you lock your room, no matter how airtight, dust will get in and cobweb will form.
You feel me?
yaani anataka Nataly aseme kama yale mahela yote na mavakesheni anayalipia kwa samadi?
Hili sio swali, naomba akaombewe haraka
<br />By Kiranga<br />
The Second Law of Thermodynamics. In a closed system, unless redressed, entropy always increases and strangeness become normal until normal become strangeness, till nightfall and the big crunch.<br />
<br />
Same reason why if you lock your room, no matter how airtight, dust will get in and cobweb will form.<br />
<br />
You feel me?
<br />
mkuu kiranga umenikumbusha mbali sana ila hapa naiona hii ni zeroth order
well saidKuna mambo mengi yanayochangia, baadhi yameshatajwa na luteni asigwa na mengine ni haya yafuatayo;
1. wanaume hawajui wajibu wao pindi wakikutana kimapenzi na wanawake, sana2 wanajijali wao tu na kuwaacha
wenza wao njia panda! hili linachukua nafasi kubwa !!
2. Upungufu wa maadili katika jamii, na ukosefu wa ujuzi juu ya athari za kusagana katika kijamii !!
3. Mkusanyiko wa jinsia moja kwa muda mrefu, kama vile girls boarding schools . Hili huwaathiri hata wanaume.
4. Ni matokeo ya kizazi fulani, kwani kila generation inakua na vituko vyake, kwa sasa tunayaona haya, siku zijazo
tunaweza kushuhudia mengineo....
In-dhari:
1. Jamii ilikemee suala hili kuanzia majumbani, kupitia vyombo vya habari na hasa2 mashuleni.
2. Wanaume hasa2 vijana, mnatakiwa muwajibike ipasavyo katika kuwahudumia mabinti kimapenzi ili wasishawishike
na njia mbadala...
duh! hii kali jamaniKuna hii niliishuhudia abt 1 and half year ago
pale opposite na mango garden kuna kiglosary kimoja
alikuwa mmama mtu mzima hasa na tena kwa umri wake anatakiwa awe na wajukuu kama hana.
Alikuwa na wakaka wa makamo age 30's au 40's wakawa wanakunywa bia mara akaja mkaka na mdada.
Yule mdada akaanza kubishana na yule mama mara analia (mimi mmbea na najijua nilikuwa nakula chabo tu)mmama akawa anambembeleza mara anampapasa bint haachi kulia tu
kidogo anaanza kumlaumu yule kaka aliyekuja nae najaribu kumquote''we unaweza kunifanyia hivi??ahsante sana sikutegemea''.Mara mmama akakasirika akapaza sauti
'' wewe mimi nina hela hawa wote wafanyakazi wangu nitakuvalisha dhahabu mwili mzima,tutasafiri wote dubai utakaa kwenye jumba langu lina swimming pool ndani,nitakupa kila kitu utakuwa mdada wa mjini we unafikiri wakina ....(akamtaja jina mtangazaji mmoja wa kike maarufu mjini)unafikiri kwa nini wanaendesha magari??na china kila siku wanaenda?
Mimi ndo kila kitu
akambusu na kumfuta machozi na mpapaso wa nguvu ...yaliyoendelea sikuyajua
maana mda wa kkuondoka ulifika.
Nilichokiona kuwa wale wanaume wanamtafutia wanawake yule mama msagaji sasa inaelekea yule bint aliambiwa tu twende ukanywe bia za bure au twende kuna buzi lina hela kishenzi ukalichune...
Wanawake kazi kwetu
tuthamini kidogo tunachokipata
umeshuhudia mengi sana in ur life jamani ...pole mana inaonekana hutaki kuyaona ila ndio unayaona kila sikuMimi hata sielewi kwa nini wanasagana
kuna katoto kamoja kasagaji maarufu sana kalinibrendia my best mhhh yaani kakamuweka kinyumba my best kanawekewa maji ya kuoga ni katoto tu lakini kalikuwa kanagombaniwa na wasichana mpaka sielewi ana nini cha kugombaniwa hivyo??
Wa pili sasa mdada wa sales kampuni ya soft drinks jirani yangu yeye akikuingiza rum anavyodai atakurubuni mpaka akusage maana asipokusaga ukitoka nje utajisifia
yaani na kenyewe katoto kadogo hata sielewi
na akiwasaga wanamganda na kumgombania na kanahongwa balaa
jamani
Ni kweli kabisa mkuu maana wanaume wanachelenga ni kulipua risasi tu lakini hawaangalii kama mlengwaji "kaumia" au lah...ndi maana mwanamke akishaanza haka kamchezo huwa hatamani tena mwanaumePoint ya pili na ya tatu ziko valid. Only mwanamke ndiye anayejuwa hisia za mwanamke mwenzake wakati wa shughuli. Si wanaume wengi wanaojuwa namna ya kumfurahisha mwanamke kitandani wengi wetu ni mabongo fleva (feki), na ukipiga kimoja tu unawaza kumwacha huyo mwanamke ukapige mwingine wakati huyu uliye naye hujamfurahisha kitandani. Hapa ndipo unakuta demu anashikwa na hasira na tendo la ndoa kwake linakuwa karaha hivyo utafuta mwenzake wasuguane na kupeana hisia mwanana.
kwa siku za karibun hili jambo naona linakua kwa kasi sana.wadada wengi wanapenda kuwa au kujiita wasagaji. Mara nyingi imekua kitu cha kawaida ktk mitandao yao ya kijamii au mitaani ktk maisha ya kawaida kujiita au kujitangaza hivyo. Kwa wanaume najua wengi wanasema ni homon znawatuma kuwa hivyo,na mara nyingi wengi wamekua wakianza toka utotoni japo co wote.kwa kinadada naona ni tofauti sana sababu wengi wao ndio wanaamua tu ukubwani kuwa hawataki tena wanaume bora wasagane wenyewe tu.wadau wenye kua kina na hili tuwekane wazi.
Mawazo ya wadada nadhan yatakua na uzito zaid coz wao ndio watajwa ktk hili..
Gungukeni hapa!!!!!
1.ongezeko la vibamia duniani....yani 99% ya wakaka vibamia
2.wanawake wanafanya vizuri kuliko wakaka( wako so romantic in love making than men)
3.wadada wana care na wako so polite kuliko wakaka...izo ni chache sana ila namba moja ndio sababu kuu