Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,499
- 92,317
Mleta mada ngoja turudi kwenye historia kidogo. Usagaji na ushoga haujaanza leo katika historia ya mwanadamu. Hii kitu unaweza kuitrace back tokea nyakati za Sodoma na Gomora.
Wala tusizunguke sana katika hili na kumung'unya maneno. Yote haya ni matokeao ya kutokumwogopa na kumkataa Mungu. Sheria za Mungu zipo wazi kabisa, ndoa yajulikana ni baina ya mtu mke na mtu mume. Mungu aliumba jinsia mbili tu.
Lakini sasa kuna elimu ya mashetani ambayo ilinenwa ya kwamba Nyakati za Mwisho itajionesha dhahiri, wao wanaongeza jinsia ya tatu...ambao kwao Ushoga na Usagaji ni moja ya njia za kungonoka.
Kwa hiyo wote wanaofanya hivyo wala usiwashangae bali waonee huruma maana hao ni wana wa UOVU.
Wala tusizunguke sana katika hili na kumung'unya maneno. Yote haya ni matokeao ya kutokumwogopa na kumkataa Mungu. Sheria za Mungu zipo wazi kabisa, ndoa yajulikana ni baina ya mtu mke na mtu mume. Mungu aliumba jinsia mbili tu.
Lakini sasa kuna elimu ya mashetani ambayo ilinenwa ya kwamba Nyakati za Mwisho itajionesha dhahiri, wao wanaongeza jinsia ya tatu...ambao kwao Ushoga na Usagaji ni moja ya njia za kungonoka.
Kwa hiyo wote wanaofanya hivyo wala usiwashangae bali waonee huruma maana hao ni wana wa UOVU.