Nini chanzo cha ongezeko la wasagaji?

yaser

JF-Expert Member
Jan 23, 2012
1,362
299
kwa siku za karibun hili jambo naona linakua kwa kasi sana.

Wadada wengi wanapenda kuwa au kujiita wasagaji. Mara nyingi imekuwa kitu cha kawaida ktk mitandao yao ya kijamii au mitaani ktk maisha ya kawaida kujiita au kujitangaza hivyo.

Kwa wanaume najua wengi wanasema ni homon zinawatuma kuwa hivyo,na mara nyingi wengi wamekua wakianza toka utotoni japo co wote.

Kwa kinadada naona ni tofauti sana sababu wengi wao ndio wanaamua tu ukubwani kuwa hawataki tena wanaume bora wasagane wenyewe tu.

Wadau wenye kujua kina juu ya hili tuwekane wazi. Mawazo ya wadada nadhan yatakua na uzito zaid coz wao ndio watajwa ktk hili..

Gungukeni hapa!!!!!
 
The Second Law of Thermodynamics. In a closed system, unless redressed, entropy always increases and strangeness become normal until normal become strangeness, till nightfall and the big crunch.

Same reason why if you lock your room, no matter how airtight, dust will get in and cobweb will form.

You feel me?
 
kwa siku za karibun hili jambo naona linakua kwa kasi sana.wadada wengi wanapenda kuwa au kujiita wasagaji. Mara nyingi imekua kitu cha kawaida ktk mitandao yao ya kijamii au mitaani ktk maisha ya kawaida kujiita au kujitangaza hivyo. Kwa wanaume najua wengi wanasema ni homon znawatuma kuwa hivyo,na mara nyingi wengi wamekua wakianza toka utotoni japo co wote.kwa kinadada naona ni tofauti sana sababu wengi wao ndio wanaamua tu ukubwani kuwa hawataki tena wanaume bora wasagane wenyewe tu.wadau wenye kua kina na hili tuwekane wazi. Mawazo ya wadada nadhan yatakua na uzito zaid coz wao ndio watajwa ktk hili..
Gungukeni hapa!!!!!

Kuna mambo mengi yanayochangia, baadhi yameshatajwa na luteni asigwa na mengine ni haya yafuatayo;
1. wanaume hawajui wajibu wao pindi wakikutana kimapenzi na wanawake, sana2 wanajijali wao tu na kuwaacha
wenza wao njia panda! hili linachukua nafasi kubwa !!
2. Upungufu wa maadili katika jamii, na ukosefu wa ujuzi juu ya athari za kusagana katika kijamii !!
3. Mkusanyiko wa jinsia moja kwa muda mrefu, kama vile girls boarding schools . Hili huwaathiri hata wanaume.
4. Ni matokeo ya kizazi fulani, kwani kila generation inakua na vituko vyake, kwa sasa tunayaona haya, siku zijazo
tunaweza kushuhudia mengineo....

In-dhari:
1. Jamii ilikemee suala hili kuanzia majumbani, kupitia vyombo vya habari na hasa2 mashuleni.
2. Wanaume hasa2 vijana, mnatakiwa muwajibike ipasavyo katika kuwahudumia mabinti kimapenzi ili wasishawishike
na njia mbadala...
 
Kwanza Ondoa dhana kuwa hawaridhishwi na wanaume au kutofikishwa kileleni, Wasiofikishwa hawafanyi usagaji, Suala kubwa ni kuiga utamaduni wa kimagharibi, na ulimbukeni wa akina dada wengine wanapenda 3 some, Hata wanaume wengine wanaanza wengine wameanza ushoga ukubwani kwa sababu tofauti, kama tamaa ya maisha ya hali ya juu, Kwani msagaji hawi na Boy friend No wanakuwa nao, Hata Mashoga wengine wana wake zao pia,
 
kwa siku za karibun hili jambo naona linakua kwa kasi sana.wadada wengi wanapenda kuwa au kujiita wasagaji. Mara nyingi imekua kitu cha kawaida ktk mitandao yao ya kijamii au mitaani ktk maisha ya kawaida kujiita au kujitangaza hivyo. Kwa wanaume najua wengi wanasema ni homon znawatuma kuwa hivyo,na mara nyingi wengi wamekua wakianza toka utotoni japo co wote.kwa kinadada naona ni tofauti sana sababu wengi wao ndio wanaamua tu ukubwani kuwa hawataki tena wanaume bora wasagane wenyewe tu.wadau wenye kua kina na hili tuwekane wazi. Mawazo ya wadada nadhan yatakua na uzito zaid coz wao ndio watajwa ktk hili..
Gungukeni hapa!!!!!
Jiulize kwa nini wanawake wanatumia vibrator,na kwa nini wanaume wanawaomba wake zao kula tigo .sex is very controversial ni Siri ya chumbani
 
Kwanza Ondoa dhana kuwa hawaridhishwi na wanaume au kutofikishwa kileleni, Wasiofikishwa hawafanyi usagaji, Suala kubwa ni kuiga utamaduni wa kimagharibi, na ulimbukeni wa akina dada wengine wanapenda 3 some, Hata wanaume wengine wanaanza wengine wameanza ushoga ukubwani kwa sababu tofauti, kama tamaa ya maisha ya hali ya juu, Kwani msagaji hawi na Boy friend No wanakuwa nao, Hata Mashoga wengine wana wake zao pia,
Sio kuiga it's about attraction
 
Kwanza Ondoa dhana kuwa hawaridhishwi na wanaume au kutofikishwa kileleni, Wasiofikishwa hawafanyi usagaji, Suala kubwa ni kuiga utamaduni wa kimagharibi, na ulimbukeni wa akina dada wengine wanapenda 3 some, Hata wanaume wengine wanaanza wengine wameanza ushoga ukubwani kwa sababu tofauti, kama tamaa ya maisha ya hali ya juu, Kwani msagaji hawi na Boy friend No wanakuwa nao, Hata Mashoga wengine wana wake zao pia,

Nakubaliana na wewe, kwani sababu zipo nyingi, lakini hiyo ya wanaume huwezi kukwepa, lakini kama nilivyosema mwanzo
uwezo wa wanawake wa ku-access haya mapicha ya ngono unachangia sana, mwanzo hua hobby mwisho huwa ugonjwa!!
 
Natalia it's not only matter of attraction, U can See somthing and ignore it, ila ni kuiga tu Mtu kavaa chupi kichwani, Mtu kaacha **** wazi, mtu kuvaa kimini bila Chupi ndani, Mtu umeangalia Demu anarukwa ukuta kwenye Movie nawe kesho umeiga, Eti unataka ujue anapata utamu gani? [QUOseeTE=Natalia;5090067]Sio kuiga it's about attraction[/QUOTE]
 
Kuna mambo mengi yanayochangia, baadhi yameshatajwa na luteni asigwa na mengine ni haya yafuatayo;
1. wanaume hawajui wajibu wao pindi wakikutana kimapenzi na wanawake, sana2 wanajijali wao tu na kuwaacha
wenza wao njia panda! hili linachukua nafasi kubwa !!
2. Upungufu wa maadili katika jamii, na ukosefu wa ujuzi juu ya athari za kusagana katika kijamii !!
3. Mkusanyiko wa jinsia moja kwa muda mrefu, kama vile girls boarding schools . Hili huwaathiri hata wanaume.
4. Ni matokeo ya kizazi fulani, kwani kila generation inakua na vituko vyake, kwa sasa tunayaona haya, siku zijazo
tunaweza kushuhudia mengineo....

In-dhari:
1. Jamii ilikemee suala hili kuanzia majumbani, kupitia vyombo vya habari na hasa2 mashuleni.
2. Wanaume hasa2 vijana, mnatakiwa muwajibike ipasavyo katika kuwahudumia mabinti kimapenzi ili wasishawishike
na njia mbadala...

Umetoa ufafanuzi wa kutosha kabisa.
 
1)STRESS ZA MAISHA
2)RAHA YA KAMCHEZO kenyewe
3)wanaume siku hizi hawawaridhishi..........



Point ya pili na ya tatu ziko valid. Only mwanamke ndiye anayejuwa hisia za mwanamke mwenzake wakati wa shughuli. Si wanaume wengi wanaojuwa namna ya kumfurahisha mwanamke kitandani wengi wetu ni mabongo fleva (feki), na ukipiga kimoja tu unawaza kumwacha huyo mwanamke ukapige mwingine wakati huyu uliye naye hujamfurahisha kitandani. Hapa ndipo unakuta demu anashikwa na hasira na tendo la ndoa kwake linakuwa karaha hivyo utafuta mwenzake wasuguane na kupeana hisia mwanana.
 
yaani anataka Nataly aseme kama yale mahela yote na mavakesheni anayalipia kwa samadi?
Hili sio swali, naomba akaombewe haraka

nataly leo kanichekesha sana!ishu ilikuwa ni usawa sijui haki sawa
sasa kapost kitu kina osama humo ndani,mama rwakatare,sijui uchumi wa marekani yani nimecheka hapa mezani sina mbavu loh!mwanamke pasua kichwa yule sina hamu nae!
 
hivi wadada msiporidhishwa na waume/bf zenu mnatafuta wanaume wengine wawakune au mnahamia kwa wanawake wenzenu? is it so easy ku-switch from 'hotdogs' to 'donuts' for you au mlikuwa mnatumia 'hotdogs' kama geresha?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom