Wadigo wanasemaje kwani kuhusu jambo hili?
katika yote uliyotaja hapo hakuna tatizo hata moja, kwani akipigwa miti kosa liko wapi? kwani kabakwa? si ni kwa mapenzi yake.Ukishaona mwanamke ana hivi vitu, basi jaribu kukwepa, na wala usitamani kuja kuoa.
1. Tatoo.
2. Kutoboa pua.
3. Kutoboa masikio matundu mengi.
4. Kikuku.
Usiniulize kwa nini, huwa ipo hivyo tu, na jamii hutambua hivyo.
Kwa uchunguzi wangu binafsi, niligundua wengi wa hao wanawake huwa na mojawapo ya hizi tabia ama waliwahi kuwa na mojawapo ya hizi tabia hapa chini;
- Ngono holela ni sehemu ya maisha yao ya kila siku.
- Wameshapigwa miti sana na watu tofauti tofauti ikiwemo wahuni.
- Ni rahisi kutongozwa na kukubali.
- Hawawezi kutosheka kimapenzi (wana wapenzi wengi, kila mitindo ya kingono huwa wameipitia au wanatamani kuipitia)
- Wana tabia nyingi za kihuni ambazo hazikubaliki kijamii hususani kwa mwanamke.
Njoo Dodoma Uwaone Wa Sikio Moja Earing 3Mimi nikiona demu kavaa heren 3 sikio moja nampenda hapo hapo
Njoo Dodoma Uwaone Wa Sikio Moja Earing 3
Pua Sasa Kama Kawaida Imewekwa Pin
Many thanks na hongera sanakatika vitu vilivyonishinda kutoboa ni pua
Jiji La Kisiasa Kuna Kijiji Kule Kondoa Kinaitwa Mauno Yaani Ukifika Hutoki
Dom the jiji
Eh kwa hiyo Ni kucheza tu huko au Ni jina tu?Jiji La Kisiasa Kuna Kijiji Kule Kondoa Kinaitwa Mauno Yaani Ukifika Hutoki
Huko Viuno Tu!!😅😄😃😂😁😀Eh kwa hiyo Ni kucheza tu huko au Ni jina tu?
Kuna maendeleo kweli huko?Huko Viuno Tu!!
Kuna maendeleo kweli huko?
kazi kweli kweliYakuwepo ya viuno
Mmmhhh?!!!Ukiona katoboa pua, ujue sehemu nyingine zote zenye matundu keshatobolewa kumeoza, hivyo iliyobaki ni pua tu!
Hiyo research uliifanya kwa wanawake wangapi?Ukishaona mwanamke ana hivi vitu, basi jaribu kukwepa, na wala usitamani kuja kuoa.
1. Tatoo.
2. Kutoboa pua.
3. Kutoboa masikio matundu mengi.
4. Kikuku.
Usiniulize kwa nini, huwa ipo hivyo tu, na jamii hutambua hivyo.
Kwa uchunguzi wangu binafsi, niligundua wengi wa hao wanawake huwa na mojawapo ya hizi tabia ama waliwahi kuwa na mojawapo ya hizi tabia hapa chini;
- Ngono holela ni sehemu ya maisha yao ya kila siku.
- Wameshapigwa miti sana na watu tofauti tofauti ikiwemo wahuni.
- Ni rahisi kutongozwa na kukubali.
- Hawawezi kutosheka kimapenzi (wana wapenzi wengi, kila mitindo ya kingono huwa wameipitia au wanatamani kuipitia)
- Wana tabia nyingi za kihuni ambazo hazikubaliki kijamii hususani kwa mwanamke.