Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
Je na ninyi mnauza mizinga tayari imiwa na nyuki?Habari.
Unahitaji shamba la miti yenye maua kwaajili ya kuwavutia nyuki au kama miti haina maua unaweza kupanda mazao yenye maua umbali usiozidi km 5 kutoka mizinga ilipo.
Unahitaji mizinga bora
Nta
Na vifaa vitakavyokusaidia kipindi cha kilimo chako kama vile mavazi ya uvunaji asali.
Gharama kwa mzinga mmoja.
Mzinga 70000
Nta 1 kg 15000
Kundi la nyuki 30000 (hii ni kwa ufugaji wa kisasa huitaji kusubiri nyuki waje wenyewe)
Hapo utakua umeanza ufugaji.
Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na huduma.
Call/text/whatsapp
0766006128
0655715184
Mzinga mmoja elfu 70??Habari.
Unahitaji shamba la miti yenye maua kwaajili ya kuwavutia nyuki au kama miti haina maua unaweza kupanda mazao yenye maua umbali usiozidi km 5 kutoka mizinga ilipo.
Unahitaji mizinga bora
Nta
Na vifaa vitakavyokusaidia kipindi cha kilimo chako kama vile mavazi ya uvunaji asali.
Gharama kwa mzinga mmoja.
Mzinga 70000
Nta 1 kg 15000
Kundi la nyuki 30000 (hii ni kwa ufugaji wa kisasa huitaji kusubiri nyuki waje wenyewe)
Hapo utakua umeanza ufugaji.
Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na huduma.
Call/text/whatsapp
0766006128
0655715184
1. Wamekufa kwenye mizinga kadhaa kwa ndani ya mwezi mmoja hivi.Habari Mkuu, Pole sana kwa kasumba ya kupoteza nyuki wako mara mara...
Kwa kawaida Nyuki wa asali hushambuliwa na magonjwa mbalimbali ya kuambukizwa ambayo husababishwa na bakteria, fangasi, protozoan, virusi na mara chache hushambuliwa na predator na sumu...
Pia magonjwa haya huenezwa kutoka kundi moja kwenda lingine kwa nyuki wakubwa, kwa kutumia mzinga ulio na vimelea, waangalizi wa mizinga, vifaa vinavyotumika katika kulina asali, na pia nta kutoka katika mimea ambapo nyuki hufuata nta kwa ajili ya kutengenezea asali...
Magonjwa ni mengi mno, kwa maelezo siwezi kusema moja kwa moja ni ugonjwa gani unaowasibu nyuki wako hadi kupelekea wao kufa kwa wingi hivyo. Ingawa kwenye industry yetu hii tunapoona vifo vya ghafla na kwa wingi zaidi huwa moja kwa moja huwa ugonjwa husika husababishwa na virusi...
Hivyo, ningependa kujua unafugia katika mazingira gani? upo peke yako au umepakana na mashamba husika?
Pia, vifo hivyo ni kwa nyuki wakubwa tu au hadi wale nyuki watoto ambao hupatikana katika masega?
Na hali husika katika masega yapoje? hapa nataka kujua rangi ya sega la nyuki lina rangi gani? au kuna mabadiliko yoyote ya rangi?
Nataka kujua hayo ili kuweza ku narrow diagnosis mkuu..
Ahsante...
Wapo mkuu, wengi tu.Hivi Hornet na Africa wapo?
Maana najua wanapatikana Asia na Europe sana
Hawa ni balaaa
Dah! mkuu, hii inaweza kuwa jibu labda inahitaji utafiti Zaidi. Hawa nao hutembea kama kundi au mmoja mmoja, na wanakuwa wanatokea wapi? na ni kwa vipi unaweza kuwatambua na kuwadhibiti?
Wapo mkuu, wengi tu.
Hoja ya Alexander the Great ina point kubwa pia. Niliwahi kuona hili NatGeo, hao nyigu hawafai hata kidogo, wanaua nyuki mzinga mzima ndani ya dakika chache. Hoja yako nayo ina mashiko ya nguvu, hizi dawa za mashambani ni hatari kuliko maelezo kwa kuangamiza nyuki.Nyuki huwa wana athiriwa sana na dawa za kuuwa wadudu zinazopuliziwa kwenye mimea mbali mbali ya mazao ya biashara.
Kumbuka nyuki anapokuwa anatafuta material ya kutengeneza asali huwa anapapasa karibu kila mmea. Kwa bahati mbaya hii mimea ya kisasa huwa inapuliziwa dawa za kuuwa wadudu waharibifu ambazo hizi dawa huwa ni sumu hat kwa mwanadamu.
Nyuki wanapopita especially maeneo yenye hiyo mimea na kuigusa, huwa wanarejea na ile sumu katika mikono yao na wanaingia nayo kwenye mzinga bila kujua madhara yake. Na inapotokea wakawa wengi na wakaisambaza, ikamfikia hadi malkia ndipo hapo huwa ni mwisho wa hilo koroni.
Hii tafiti niliifanya miaka mitatu iliyopita kwa kutazama video za kimazingira huko YouTube. Na nilishaizungumza kipindi fulani kuwa haya madawa na mbegu za kibiashara zitakuja kuwa na madhara kwenye mazingira siku zijazo, ila sikupata ushirikiano mzuri nikaonekana kama mtu anayejifanya mjuaji.
Leo huyu mwenzetu ameshaanza kuona madhara.....
Kama unabisha nenda katazame mizinga iliyopo kwenye misitu au maporini, uone kama inakutwa na hili tatizo.
Siafu wanaweza kuua nyuki? Vipi sisimizi?Huku tz sidhani km kuna wale nyuki wakubwa yellow jacket ambao huwaua hawa nyuki wa asali.... Adui mkubwa kwa huku ni siafu na upigaji mbovu wa sumu mashambani
Dah, kwa hiyo hao nyuki wauaji hata Tanzania wapo sana sio? Ila madawa unaweza kuwa changamoto iliyoenea zaidiHoja ya Alexander the Great ina point kubwa pia. Niliwahi kuona hili NatGeo, hao nyigu hawafai hata kidogo, wanaua nyuki mzinga mzima ndani ya dakika chache. Hoja yako nayo ina mashiko ya nguvu, hizi dawa za mashambani ni hatari kuliko maelezo kwa kuangamiza nyuki.
Inawezekana wamekula sumu ya viatilifu inayopukizwa kwa winginkwenye Masai kama Alizeti mbaazi maharagwe KuroshoSina Neno Ila Sasa Acha Niufutilie Haraka Huu Uzi
Yap ni kweli kabisa nyuki kama viumbe vingine vinaweza kuzalishwa kwa wingi,kama ilivyo kwa mifugo kama kuku nyuki huweza kuzalishwa kwa wingi zaidi,na wataalamu wabobezi wa nyuki hushauri ni vyema ukazalisha nyuki wako wenyewe ambao wanasifa za kuresist magonjwa kuwa na uwezo wa kuzalisha asali kwa wingi،wafugaji wengi wa nyuki hawajui tasnia nzima ya ufugaji wa nyuki kwa undani na kudhani ufugaji wa nyuki ni jambo LA kawaida na kupata asali ni bahati,kimsingi kinachodhalishwa ni malkia wa nyuki,huyu ndio kiwanda cha nyuki wote kwenye mzinga.sio kazi nyepesi kumdhalisha malkia ,lakini ukiamua in rahisi sana,ikumbukwe malkia hutaga mayai yanayoweza kuwa workers au queen,kama unahitaji malkia basi kuna namna ya kufanya mayai yaliotagwa kutoa malkia tu,kuna chakula spesho unatakiwa kuwawekea malarva ili wawe malkia ,na hivyo kuwa na malkia wengi ambao utawapandikiza kwenye mizinga mipya na hivyo kuongeza uzalishaji wa nyukiWakuu,
Ningependa kufahamu yafuatayo,
1. Je! ni kweli upo utaalamu wa kuzalisha makundi ya nyuki na kuwahamishia kwenye mizinga?
2. Zoezi hilo huchukua muda gani hadi kuzalisha malikia mpya na kundi jipya?
3. Humu yupo mtu anayefanya hiyo kazi anayeweza kutoa ushuhuda au kuonesha practice?
3. Mfumo huo una ufanisi kiasi gani na changamoto zinazotegemewa ni zipi?
nawasilisha.
magonjwa ya bacteria,ama wadudu wanaoshambulia nyuki kama simimizi au simba wa nyuki,kagua mzinga wako kouna kama kuna wadudu wasiofana na nyuki ndani ya mzinga,kuna Mdudu anafanana na nyuki sana ila yeye ni mkubwa kuliko nyuki huwaua nyuki sana anapovamia nyuki,ukikuta hakuna Mdudu mvamizi basi ni magonjwa yanayosababishwa na bacteriaSalama wakuu,
Nimekuwa nikikabiliwa na changamoto ya nyuki kufa kwenye mizinga kwa sababu ambazo sijazielewa mpaka sasa.
Kwa wazoefu wa nyuki, ni mambo gani hasa yanaweza kupelekea nyuki kufa?
Sisimizi wanaweza kuua nyuki?magonjwa ya bacteria,ama wadudu wanaoshambulia nyuki kama simimizi au simba wa nyuki,kagua mzinga wako kouna kama kuna wadudu wasiofana na nyuki ndani ya mzinga,kuna Mdudu anafanana na nyuki sana ila yeye ni mkubwa kuliko nyuki huwaua nyuki sana anapovamia nyuki,ukikuta hakuna Mdudu mvamizi basi ni magonjwa yanayosababishwa na bacteria