Nini chanzo cha mtu mweusi kujihisi wa thamani ya chini mbele ya mtu mweupe(mzungu)?

crane

Member
Sep 9, 2018
40
25
Habari za mida hii wanajukwaa..

Kwanza kabisa naombeni radhi kwa yeyote ambae atakwazika kwa namna yeyote na uzi huu, kwani itakua ni mapungufu ya kibinaadam, pia naomba support yote kwenu wanajukwaa, mimi ni mgeni humu.....


Bila kupoteza wakati tuanze mada yetn...

Kwa kawaida toka wengi wetu tulipo zaliwa, tumekua na ideology ya kuwa mzungu au binadamu mwenye ngoz nyeupe ni extraordinary zaidi ya sisi blacks.

Kwa mfano, kuna baadhi ya misemo mitaani huwa inasemwa na watu wa kila rika sometimes hata baadhi ya wasomi...utawaskia wakisema: akitoka mungu ni mzungu au mzungu anaweza kila kitu hadi kamuumba binadam kakosa kumuwekea roho tu.......jambo ambalo halina ukweli.....au wengine wanafail kuelewa kwamba upandikizaji wa viumbe scientifically(cloning) nao wanaita ni uumbaji wa mzungu.......pia utakuta mabishano ya waafrika wakijenga hoja mbalimbali za kujishusha mbele ya wazungu...kwa mfano utaskia mtu mweusi akisema .. Mzungu akiamka anawaza agundue nn na mtu mweusi anawaza ngono😕😕....


sisi wote humu ni mashahidi kwamba kuna watu weusi waliowahi kufanya mambo makubwa katika discipline mbalimbali za kisayansi..kijamii n.k.


sasa swali langu lipo hapa kwenu wanaintelligece,, je? Nadharia hii ya mtu mweusi kuji undermine imetoka wapi? Wakat wote binadamu tunaakili sawa...kama ni maprof wazungu cc pia wapo.......na ukizngatia we black ni wakipekee sana hivo imani yangu lazma tutakua na thamani kubwa na kitu cha kipekee ndani yetu ambacho wengine hawana. Kwani haiwezekani hata madada zetu baadhi wapo radhi wadate kwa mzungu kichaa yaani



Nawasilisha...
 
Habari za mida hii wanajukwaa..

Kwanza kabisa naombeni radhi kwa yeyote ambae atakwazika kwa namna yeyote na uzi huu, kwani itakua ni mapungufu ya kibinaadam, pia naomba support yote kwenu wanajukwaa, mimi ni mgeni humu.....


Bila kupoteza wakati tuanze mada yetn...

Kwa kawaida toka wengi wetu tulipo zaliwa, tumekua na ideology ya kuwa mzungu au binadamu mwenye ngoz nyeupe ni extraordinary zaidi ya sisi blacks.

Kwa mfano, kuna baadhi ya misemo mitaani huwa inasemwa na watu wa kila rika sometimes hata baadhi ya wasomi...utawaskia wakisema: akitoka mungu ni mzungu au mzungu anaweza kila kitu hadi kamuumba binadam kakosa kumuwekea roho tu.......jambo ambalo halina ukweli.....au wengine wanafail kuelewa kwamba upandikizaji wa viumbe scientifically(cloning) nao wanaita ni uumbaji wa mzungu.......pia utakuta mabishano ya waafrika wakijenga hoja mbalimbali za kujishusha mbele ya wazungu...kwa mfano utaskia mtu mweusi akisema .. Mzungu akiamka anawaza agundue nn na mtu mweusi anawaza ngono😕😕....


sisi wote humu ni mashahidi kwamba kuna watu weusi waliowahi kufanya mambo makubwa katika discipline mbalimbali za kisayansi..kijamii n.k.


sasa swali langu lipo hapa kwenu wanaintelligece,, je? Nadharia hii ya mtu mweusi kuji undermine imetoka wapi? Wakat wote binadamu tunaakili sawa...kama ni maprof wazungu cc pia wapo.......na ukizngatia we black ni wakipekee sana hivo imani yangu lazma tutakua na thamani kubwa na kitu cha kipekee ndani yetu ambacho wengine hawana. Kwani haiwezekani hata madada zetu baadhi wapo radhi wadate kwa mzungu kichaa yaani



Nawasilisha...
Khaaa????? yaani ndugu yangu wewe yanayoendelea Tanzania huoni mpaka uambiwe mifano gani sasa?
 
Ki ukweli weusi ni race ambayo imeprove failure sana kuitetea imekuwa kazi ngumu mno.Naomba mifano ya wa5 weusi waliofanya wonders hapa duniani katika sayansi na ugunduzi
Bro hivi maajabu yanapatikana katika sayansi na ugunduzi ?

Huu ujinga uliokomaa !
 
Hapo ndipo utaona nafasi ya DINI iko wapi. Ukiniuliza ni DINI gani ? Mimi lazima nitakuambia dini ya UISLAMU ndio imeleta usawa baina ya watu. Sababu dini hii imenikuza,na ninaendelea kujifunza DINI hii na nimeona ni jinsi gani ilivyokuja kutoa ujinga kwa watu juu ya mmoja kumtukuza mwengine na mwingine kumuona dhalili mwingine.
 
Mkuu... Ngozi nyeusi tuna mambo ya ajabu sana aisee.

Jaribu kuangalia African countries na European/American countries kwenye field kama za social services, technology na zingine, haihitaji hata PhD kuelewa.


Anyway, tuache hayo... Hebu imagine yule jamaa kule baada ya kivuko kuzama, anasitisha zoezi la uokozi sababu ya giza... Hivi bado huelewi tu kuwa Africa kuna mambo ya ajabu?
 
Mkuu... Ngozi nyeusi tuna mambo ya ajabu sana aisee.

Jaribu kuangalia African countries na European/American countries kwenye field kama za social services, technology na zingine, haihitaji hata PhD kuelewa.


Anyway, tuache hayo... Hebu imagine yule jamaa kule baada ya kivuko kuzama, anasitisha zoezi la uokozi sababu ya giza... Hivi bado huelewi tu kuwa Africa kuna mambo ya ajabu?

I'm very sure wazungu wasingekwama sababu ya giza.
 
Mkuu... Ngozi nyeusi tuna mambo ya ajabu sana aisee.

Jaribu kuangalia African countries na European/American countries kwenye field kama za social services, technology na zingine, haihitaji hata PhD kuelewa.


Anyway, tuache hayo... Hebu imagine yule jamaa kule baada ya kivuko kuzama, anasitisha zoezi la uokozi sababu ya giza... Hivi bado huelewi tu kuwa Africa kuna mambo ya ajabu?
Juzi nilikaa sehemu peke yangu alafu mbele yangu kuna halaiki ya watu aisee nikawa naichunguza ile jamii nikagundua Afrika kuna wehu wengi kuliko watu wazima kiakili
 
Kabla hatujaenda mbali ona jamaa kaleta ma ccm kwenye mada ambayo haifanani kisiasa,BLACKS tuna wehu wa kuzaliwa nao.
easy brother na samahan kwa kukukwaza, nilitaka tu nichokoze watu, jua likipita bla kuchokoza mtu humu sina aman,
ila sio kwa njia mbaya, n uchokoz kwa njia ya utani.

Hv unadhan m nafurah kuandka neno CCM? basi tu nikiandka machungu yanapungua kdg.
 
Ok tuna lipi sisi kama weusi lakujinasibu nalo hapa duniani kama sio ujinga na upumbafu?
Bro inabidi nikurudishe nyuma ili usafishe ufahamu wako.

Kwanza kabla ya kuuliza swali lako hilo,ulitakiwa ujue ya kuwa kwanini umekuwepo hapa Duniani.

Kihusu rangi na mataifa,tueumbwa hivyo ili kufahamiana tu.

Halafu unapozungumzia weusi ni jambo pana sana,je unazungumzia weusi kwa rangi,weusi kwa mipaka ya kimaeneo au weusi kwa namna gani ?

Kadhalika kuna tatizo moja kubwa tumekaririshwa ya kuwa elimu bora ni sayansi tu na ugunduzi ?

Elimu bora ni utambuzi wa mambo na kutenda sawa sawa.
 
Back
Top Bottom