PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,074
- 1,856
Tuna mihimili mikuu 3 ambayo ni Serikali,Bunge na Mahakama. Mihimili mingine mapato yao yanajulikana lakini kwa Bunge huwa nasikia wana timu ya mpira tu,kama ntakuwa nimesahau mnikumbushe!!
Nashauri mhimili huu upanue wigo wa vyanzo vya mapato mfano shule kila jimbo ama viwanda vyake nk.
Nakubali kukosolewa
Nashauri mhimili huu upanue wigo wa vyanzo vya mapato mfano shule kila jimbo ama viwanda vyake nk.
Nakubali kukosolewa