Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,532
Kama unafuatilia vyombo vya habari nchi ya Mali moto umefuka. Wananchi waliingia mitaani mpaka raisi aliyetawala miaka 25 na ushee aondoke. Wanajeshi wakamteka Rais na waziri Mkuu, wakakamata nchi. Sema wanajeshi kiroho safi wataandaa uchaguzi wa huru wameahidi.
Belarus, wananchi wameingia kitaa. Raisi atoke hawamtaki kashinda uchaguzi 80% lakini wananchi wanasema wizi mtupu. Wanataka katiba mpya Style ya #sasaBaasi flani hivi. Mpinzani wa karibu ambae ni mwanamama kuona fujo kakimbilia nchi jirani mumewe yuko gerezani
Full fujo. Russia ambaye ni nchi jirani anamtetea Raisi alie madarakani. European Union wanasema rais wa Belarus atoke au uchaguzi urudiwe. Umeiba kura. Kimbembe. Jamaa mbuzi kagoma
Thailand Bangkok huko kitaa kimejaa watu kama sisimizi. Story ndefu lkn ni kama za hapo juu tu.
Duniani siku hizi watu wakisema #sasabaasi uwe muangalifu sana.
Je, tuna la kujifunza hapo kwa matukio hayo matatu?
Belarus, wananchi wameingia kitaa. Raisi atoke hawamtaki kashinda uchaguzi 80% lakini wananchi wanasema wizi mtupu. Wanataka katiba mpya Style ya #sasaBaasi flani hivi. Mpinzani wa karibu ambae ni mwanamama kuona fujo kakimbilia nchi jirani mumewe yuko gerezani
Full fujo. Russia ambaye ni nchi jirani anamtetea Raisi alie madarakani. European Union wanasema rais wa Belarus atoke au uchaguzi urudiwe. Umeiba kura. Kimbembe. Jamaa mbuzi kagoma
Thailand Bangkok huko kitaa kimejaa watu kama sisimizi. Story ndefu lkn ni kama za hapo juu tu.
Duniani siku hizi watu wakisema #sasabaasi uwe muangalifu sana.
Je, tuna la kujifunza hapo kwa matukio hayo matatu?