Nini cha kufanya unapofumaniwa chumbani na mke/ mume wa mtu?

Cha kufanya kama unajua mwishoni UTAMSAMEHEE MKEO vovote itakavokuwa we NYAMAZA KIMYAAAAAAAAAA!!!!!!!!! YAANI SHUT THE F! UP!!!!!!! Chukua ZINGA la KONYAGI shushiaaaa!!!!!!!!!! Ukilogwa ukamuhadhia mtu au ukaomba ushauri ni AIBU YAKO MWENYEWE!!!!!!!!!! Jiji zima litazizima na habari juu ya mkeo kuliwa.

Siku ukishamsamehe WATU WOTE WANAJUA FLANI ALIPITA PALE NA WEWE UNAENDELEZA LIBENEKE!!!!!!!! Ila ikiwa SIRI yenu, utaumia moyoni ndio ILA HADHI YAKO YA KIUME ITABAKIA KATIKA JAMIII!!!!.

NI KAZI CHAFU ILA LAZIMA MTU AIFANYE!!!!!!!!!!
 
Cha kufanya kama unajua mwishoni UTAMSAMEHEE MKEO vovote itakavokuwa we NYAMAZA KIMYAAAAAAAAAA!!!!!!!!! YAANI SHUT THE F! UP!!!!!!! Chukua ZINGA la KONYAGI shushiaaaa!!!!!!!!!! Ukilogwa ukamuhadhia mtu au ukaomba ushauri ni AIBU YAKO MWENYEWE!!!!!!!!!! Jiji zima litazizima na habari juu ya mkeo kuliwa.

Siku ukishamsamehe WATU WOTE WANAJUA FLANI ALIPITA PALE NA WEWE UNAENDELEZA LIBENEKE!!!!!!!! Ila ikiwa SIRI yenu, utaumia moyoni ndio ILA HADHI YAKO YA KIUME ITABAKIA KATIKA JAMIII!!!!.

NI KAZI CHAFU ILA LAZIMA MTU AIFANYE!!!!!!!!!!

Hahahahaah LARA1 napendaga sana comment zako ku****nina we ni noma.
 
Last edited by a moderator:
Jamani naombeni mawazo yenu, maana anytime kinaweza kikanuka.
Moyo haupigi kwenye range zake za kawaida

Cha kufanya huwa kinakuja on the spot..., so huna haja ya kuwaza kwa sasa subiria tu tukio lenyewe utajua!
 
buji, hebu sema uko gesti gani nije kula deo mwana wa mwenzio?
maana kwa tambo na majisifu humu jf hujambo, mara ohhh ntamkunja, mara ntamnyonya...
hebu nipe anwani ya gesti ulipo nije kushuhudia kwa jicho langu
 
Cha kufanya kama unajua mwishoni UTAMSAMEHEE MKEO vovote itakavokuwa we NYAMAZA KIMYAAAAAAAAAA!!!!!!!!! YAANI SHUT THE F! UP!!!!!!! Chukua ZINGA la KONYAGI shushiaaaa!!!!!!!!!! Ukilogwa ukamuhadhia mtu au ukaomba ushauri ni AIBU YAKO MWENYEWE!!!!!!!!!! Jiji zima litazizima na habari juu ya mkeo kuliwa.

Siku ukishamsamehe WATU WOTE WANAJUA FLANI ALIPITA PALE NA WEWE UNAENDELEZA LIBENEKE!!!!!!!! Ila ikiwa SIRI yenu, utaumia moyoni ndio ILA HADHI YAKO YA KIUME ITABAKIA KATIKA JAMIII!!!!.

NI KAZI CHAFU ILA LAZIMA MTU AIFANYE!!!!!!!!!!

hahahahaha. lara 1 umemaliza kazi. Salute.
 
Last edited by a moderator:
Jamani naombeni mawazo yenu, maana anytime kinaweza kikanuka.
Moyo haupigi kwenye range zake za kawaida

Bujibuji Bwana! Yaani unajiandaa kufumaniwa!.... usiombe mkuu, mkimbize huyo pepo fasta, maana kufumaniwa ni hatari hivyo usitembee na mke/mume wa mtu. Tafuta wako ule maisha tartiiiiiiiiiiibu!
 
nina manati ya mzungu
Springfield_Armory_M1911A1.JPG
Bujibuji haogopi kufededwa.. Miss u alot gfsonwin
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom