Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,462
- 154,344
Jamani naombeni mawazo yenu, maana anytime kinaweza kikanuka.
Moyo haupigi kwenye range zake za kawaida
Moyo haupigi kwenye range zake za kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani naombeni mawazo yenu, maana anytime kinaweza kikanuka.
Moyo haupigi kwenye range zake za kawaida
natesti kwanza na kalamu aina ya bic, isiponasa, naingia mazimaHauogopi kunasiana?
Cha kufanya kama unajua mwishoni UTAMSAMEHEE MKEO vovote itakavokuwa we NYAMAZA KIMYAAAAAAAAAA!!!!!!!!! YAANI SHUT THE F! UP!!!!!!! Chukua ZINGA la KONYAGI shushiaaaa!!!!!!!!!! Ukilogwa ukamuhadhia mtu au ukaomba ushauri ni AIBU YAKO MWENYEWE!!!!!!!!!! Jiji zima litazizima na habari juu ya mkeo kuliwa.
Siku ukishamsamehe WATU WOTE WANAJUA FLANI ALIPITA PALE NA WEWE UNAENDELEZA LIBENEKE!!!!!!!! Ila ikiwa SIRI yenu, utaumia moyoni ndio ILA HADHI YAKO YA KIUME ITABAKIA KATIKA JAMIII!!!!.
NI KAZI CHAFU ILA LAZIMA MTU AIFANYE!!!!!!!!!!
Jamani naombeni mawazo yenu, maana anytime kinaweza kikanuka.
Moyo haupigi kwenye range zake za kawaida
natesti kwanza na kalamu aina ya bic, isiponasa, naingia mazima
Cha kufanya huwa kinakuja on the spot..., so huna haja ya kuwaza kwa sasa subiria tu tukio lenyewe utajua!
Cha kufanya kama unajua mwishoni UTAMSAMEHEE MKEO vovote itakavokuwa we NYAMAZA KIMYAAAAAAAAAA!!!!!!!!! YAANI SHUT THE F! UP!!!!!!! Chukua ZINGA la KONYAGI shushiaaaa!!!!!!!!!! Ukilogwa ukamuhadhia mtu au ukaomba ushauri ni AIBU YAKO MWENYEWE!!!!!!!!!! Jiji zima litazizima na habari juu ya mkeo kuliwa.
Siku ukishamsamehe WATU WOTE WANAJUA FLANI ALIPITA PALE NA WEWE UNAENDELEZA LIBENEKE!!!!!!!! Ila ikiwa SIRI yenu, utaumia moyoni ndio ILA HADHI YAKO YA KIUME ITABAKIA KATIKA JAMIII!!!!.
NI KAZI CHAFU ILA LAZIMA MTU AIFANYE!!!!!!!!!!
Jamani naombeni mawazo yenu, maana anytime kinaweza kikanuka.
Moyo haupigi kwenye range zake za kawaida
nina bastola, sijui niiweke kwenye suruali au nilale nayo kitandani?
nina bastola, sijui niiweke kwenye suruali au nilale nayo kitandani?
duh! miss you too sweet bro. luv you sana tu best.
nina manati ya mzungu