Nini cha kufanya kuepusha mgonjwa wa Kisukari asikatwe kiungo cha mwili?

George Betram

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
4,018
4,907
Ni takribani mwezi mmoja na nusu tangu Aunt yangu azidiwe na ugonjwa wa Kisukari.
Hali ilianza kuwa mbaya alivyopata kidonda mguuni (maeneo ya kifundo cha mguu), kidonda hicho kilianza kama lengelenge tu.
Wiki iliyopita tulimpereka hospital baada ya hali kuwa mbaya,amelazwa hapo hospital wiki nzima.
Leo daktari amepima mguu amesema inatakiwa mguu ukatwe,kwani umepoteza mawasiliano.
Inanitisha na kunipa wasiwasi sana wakuu,hivi kweli hakuna njia nyingine ya kumsaidia Aunt yangu zaidi ya kukatwa mguu???

Nahitaji mawazo yenu juu ya hili jambo wakuu,mara ya mwisho kupimwa kiwango cha sukari mwilini ni leo asubuhi amekutwa na sukari 12.
 
Mara nyingi watu wenye kisukari hupata complications ya kupata madhara kwenye neva/mishipa ya damu ya miguuni.

Complication hii hupelekea asiweze kuhisi (anapata ganzi) chochote huko miguuni. Kwa hiyo hata akijikata, akipata mchubuko hatahisi maumivu yoyote.

Na mara nyingi akipata hata kamchubuko hakatapona bali kataendelea kukua na kuwa kidonda kamili sababu hamna blood supply ya kutosha maeneo hayo.

Hivi vidonda huwa ni hatari sana sabab vinaweza kusababisha ascending infections na kupelekea muhusika kupata maradhi mengine.

Kwa hiyo matibabu mazuri zaidi huwa ni kukata mguu husika kwa sababu hivi vidonda huwa haviponi. Huendelea kukua na vinaweza kutafuna mguu wote.

Ni vizuri mkawahi kuukata kwa sababu jinsi mnavyozidi kuchelewa mishipa ya damu inaendelea kuathirika kwenda juu zaidi na itapelekea mguu kukatwa juu zaidi.

The early amputation is the best one.
 
Mara nyingi watu wenye kisukari hupata complications ya kupata madhara kwenye neva/mishipa ya damu ya miguuni.
Complication hii hupelekea asiweze kuhisi (anapata ganzi) chochote huko miguuni. Kwa hiyo hata akijikata, akipata mchubuko hatahisi maumivu yoyote.
Na mara nyingi akipata hata kamchubuko hakatapona bali kataendelea kukua na kuwa kidonda kamili sababu hamna blood supply ya kutosha maeneo hayo.
Hivi vidonda huwa ni hatari sana sabab vinaweza kusababisha ascending infections na kupelekea muhusika kupata maradhi mengine.
Kwa hiyo matibabu mazuri zaidi huwa ni kukata mguu husika kwa sababu hivi vidonda huwa haviponi. Huendelea kukua na vinaweza kutafuna mguu wote.
Ni vizuri mkawahi kuukata kwa sababu jinsi mnavyozidi kuchelewa mishipa ya damu inaendelea kuathirika kwenda juu zaidi na itapelekea mguu kukatwa juu zaidi.
The early amputation is the best one.
Dah,kwahiyo hakuna njia nyingine tofauti na kukata mguu Kiongozi?
 
Mara nyingi watu wenye kisukari hupata complications ya kupata madhara kwenye neva/mishipa ya damu ya miguuni.

Complication hii hupelekea asiweze kuhisi (anapata ganzi) chochote huko miguuni. Kwa hiyo hata akijikata, akipata mchubuko hatahisi maumivu yoyote.

Na mara nyingi akipata hata kamchubuko hakatapona bali kataendelea kukua na kuwa kidonda kamili sababu hamna blood supply ya kutosha maeneo hayo.

Hivi vidonda huwa ni hatari sana sabab vinaweza kusababisha ascending infections na kupelekea muhusika kupata maradhi mengine.

Kwa hiyo matibabu mazuri zaidi huwa ni kukata mguu husika kwa sababu hivi vidonda huwa haviponi. Huendelea kukua na vinaweza kutafuna mguu wote.

Ni vizuri mkawahi kuukata kwa sababu jinsi mnavyozidi kuchelewa mishipa ya damu inaendelea kuathirika kwenda juu zaidi na itapelekea mguu kukatwa juu zaidi.

The early amputation is the best one.

Naunga mkono hoja
Kuwahi mapema kunasaidia

Ingawa kuna watu wa asili wanadai kuna doctor mwenzangu anadai alitumia kwa ndugu yake alikua na vidonda akapona
Me mwenyewe siamini saaana hizo vitu ila kama unataka jaribu naweza kuku hook up


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tiba pekee apo ni kucontrol hiyo sukari yake ya kupanda ambayo bado ipo juu.

Ushauri wangu, watafute watu wa tiba asili wanatoa dawa nzuri tu kwa qjili ya kutibu kisukar,

Dawa zao zinaanzia sh. 2000 dawa moja, ya aina moja na dawa zao gharama inafika hadi laki 3. Ni tiba nzur ambayo imeonesha matokeo mazuri kwa wengi walio tumia.

Asipo control hiyo sukar anaweza kupata kidonda kingine mguu wa pili na madhala kua yale yale


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tiba pekee apo ni kucontrol hiyo sukari yake ya kupanda ambayo bado ipo juu.
Ushauri wangu, watafute watu wa tiba asili wanatoa dawa nzuri tu kwa qjili ya kutibu kisukar,
Dawa zao zinaanzia sh. 2000 dawa moja, ya aina moja na dawa zao gharama inafika hadi laki 3. Ni tiba nzur ambayo imeonesha matokeo mazuri kwa wengi walio tumia.
Asipo control hiyo sukar anaweza kupata kidonda kingine mguu wa pili na madhala kua yale yale
Sent using Jamii Forums mobile app
Naweza kupata mawasiliano ya hao wataalamu..?
 
mkuu doct ABASI anasaidia wengi sana na wale waliotakiwa kukatwa miguu au viungo vyao vimesalimika yupo hapo kariakoo, ila mkuu jitahidi sana tena epukeni vyakula vyenye sukari na wanga, sukari iliwa normal kidonda kinapona
 
Amtafute doctor Abbas hapo mitaa ya Kariakoo,sina uhakika kama bado yupo pale ila aulizie fasta...
 
Km miguu umeshaoza kumpeleka mgonjwa kwenye tiba asilia kutapelekea infection kupanda na kusambaa mwilini na kupelekea sepsis au mgonjwa kupata septic shock na kufariki. Ushauri wangu kama mgonjwa yupo Dsm karibu kumpeleka hospitali kubwa yenye specialist wa sukari ( endocrinologist) km atakwambia kwamba miguu unatakiwa kukatwa basi huna budi kufuata ushauri wa daktari
 
M
Ni takribani mwezi mmoja na nusu tangu Aunt yangu azidiwe na ugonjwa wa Kisukari.
Hali ilianza kuwa mbaya alivyopata kidonda mguuni (maeneo ya kifundo cha mguu), kidonda hicho kilianza kama lengelenge tu.
Wiki iliyopita tulimpereka hospital baada ya hali kuwa mbaya,amelazwa hapo hospital wiki nzima.
Leo daktari amepima mguu amesema inatakiwa mguu ukatwe,kwani umepoteza mawasiliano.
Inanitisha na kunipa wasiwasi sana wakuu,hivi kweli hakuna njia nyingine ya kumsaidia Aunt yangu zaidi ya kukatwa mguu???

Nahitaji mawazo yenu juu ya hili jambo wakuu,mara ya mwisho kupimwa kiwango cha sukari mwilini ni leo asubuhi amekutwa na sukari 12.
Mkuu sukari 12 akatwe mguu?Ni hospitali ya serikali au binafsi mlimompeleka?
Kidondankina muda gani tika kitokee
 
M
Mkuu sukari 12 akatwe mguu?Ni hospitali ya serikali au binafsi mlimompeleka?
Kidondankina muda gani tika kitokee
Dah,Aunt yangu amekatwa mguu jana Kiongozi...
Kidonda chake kilikua kina kama miezi mitatu hivi...
Hospital ni ya serikali,Temeke hospital..!
Sukari yake kuna wakati ilikua inapanda mpaka kufikia 20+
 
Mkuu tiba pekee apo ni kucontrol hiyo sukari yake ya kupanda ambayo bado ipo juu.

Ushauri wangu, watafute watu wa tiba asili wanatoa dawa nzuri tu kwa qjili ya kutibu kisukar,

Dawa zao zinaanzia sh. 2000 dawa moja, ya aina moja na dawa zao gharama inafika hadi laki 3. Ni tiba nzur ambayo imeonesha matokeo mazuri kwa wengi walio tumia.

Asipo control hiyo sukar anaweza kupata kidonda kingine mguu wa pili na madhala kua yale yale


Sent using Jamii Forums mobile app
Nina ndugu yangu alikua na sukari ametumia dawa za asili mpaka leo akipima anakuta 5-7 so kama unavyosema tusidharau hao watu wanasaidia pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi watu wenye kisukari hupata complications ya kupata madhara kwenye neva/mishipa ya damu ya miguuni.

Complication hii hupelekea asiweze kuhisi (anapata ganzi) chochote huko miguuni. Kwa hiyo hata akijikata, akipata mchubuko hatahisi maumivu yoyote.

Na mara nyingi akipata hata kamchubuko hakatapona bali kataendelea kukua na kuwa kidonda kamili sababu hamna blood supply ya kutosha maeneo hayo.

Hivi vidonda huwa ni hatari sana sabab vinaweza kusababisha ascending infections na kupelekea muhusika kupata maradhi mengine.

Kwa hiyo matibabu mazuri zaidi huwa ni kukata mguu husika kwa sababu hivi vidonda huwa haviponi. Huendelea kukua na vinaweza kutafuna mguu wote.

Ni vizuri mkawahi kuukata kwa sababu jinsi mnavyozidi kuchelewa mishipa ya damu inaendelea kuathirika kwenda juu zaidi na itapelekea mguu kukatwa juu zaidi.

The early amputation is the best one.
Diabetic foot ulcer
 
Back
Top Bottom