George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,018
- 4,907
Ni takribani mwezi mmoja na nusu tangu Aunt yangu azidiwe na ugonjwa wa Kisukari.
Hali ilianza kuwa mbaya alivyopata kidonda mguuni (maeneo ya kifundo cha mguu), kidonda hicho kilianza kama lengelenge tu.
Wiki iliyopita tulimpereka hospital baada ya hali kuwa mbaya,amelazwa hapo hospital wiki nzima.
Leo daktari amepima mguu amesema inatakiwa mguu ukatwe,kwani umepoteza mawasiliano.
Inanitisha na kunipa wasiwasi sana wakuu,hivi kweli hakuna njia nyingine ya kumsaidia Aunt yangu zaidi ya kukatwa mguu???
Nahitaji mawazo yenu juu ya hili jambo wakuu,mara ya mwisho kupimwa kiwango cha sukari mwilini ni leo asubuhi amekutwa na sukari 12.
Hali ilianza kuwa mbaya alivyopata kidonda mguuni (maeneo ya kifundo cha mguu), kidonda hicho kilianza kama lengelenge tu.
Wiki iliyopita tulimpereka hospital baada ya hali kuwa mbaya,amelazwa hapo hospital wiki nzima.
Leo daktari amepima mguu amesema inatakiwa mguu ukatwe,kwani umepoteza mawasiliano.
Inanitisha na kunipa wasiwasi sana wakuu,hivi kweli hakuna njia nyingine ya kumsaidia Aunt yangu zaidi ya kukatwa mguu???
Nahitaji mawazo yenu juu ya hili jambo wakuu,mara ya mwisho kupimwa kiwango cha sukari mwilini ni leo asubuhi amekutwa na sukari 12.