mussamoses14
Member
- Aug 14, 2017
- 6
- 1
WanaForum habari zenu.
Nimegiza gari kutoka Japan Mark x/2005 na ipo karibu na kuwasili. Nahitaji kujua (from technical point of view) nini natakiwa kufanya kabla ya kuiingiza gari barabarani?
Niliwahi kuona thread inaelezea kuwa unatakiwa ubadilishe oil types zote za gari na kuweka mpya. U-replace any fluid/gas uweke mpya na vitu mfano wa hivi.. je ni kweli?
Nahitaji kuelimishwa sina ujuzi sana na hivi vyombo vya usafiri.
Nimegiza gari kutoka Japan Mark x/2005 na ipo karibu na kuwasili. Nahitaji kujua (from technical point of view) nini natakiwa kufanya kabla ya kuiingiza gari barabarani?
Niliwahi kuona thread inaelezea kuwa unatakiwa ubadilishe oil types zote za gari na kuweka mpya. U-replace any fluid/gas uweke mpya na vitu mfano wa hivi.. je ni kweli?
Nahitaji kuelimishwa sina ujuzi sana na hivi vyombo vya usafiri.