Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Baada ya misukosuko ya hapa na pale ya Mimi na mpenzi hatua tuliofikia ni kupeana likizo kwa muda.
Ambapo mpenzi wangu ameniomba nimpe miezi mitatu ya kutulia na kujitafakari kama tuendelee au tuachane kila mmoja ajitathimi na kujitafakari kama ni kuendelea au kupotezea Mimi upande wangu nilishaonesha nia kukubali kusemeana pale tulipokoseana baada ya mmoja ya rafiki yangu kujaribu kutusuluhisha.
Ila mwenzangu upande wake ameomba apumzike kidogo huku akinipa Mimi muda wa kujitathimini na yeye kujitathimini.
Sasa naombeni ushauli kipindi cha kujitafakari nini cha kufanya kwani mahusiano yenyewe yako rehani muda wowote yatavunjika?
Ambapo mpenzi wangu ameniomba nimpe miezi mitatu ya kutulia na kujitafakari kama tuendelee au tuachane kila mmoja ajitathimi na kujitafakari kama ni kuendelea au kupotezea Mimi upande wangu nilishaonesha nia kukubali kusemeana pale tulipokoseana baada ya mmoja ya rafiki yangu kujaribu kutusuluhisha.
Ila mwenzangu upande wake ameomba apumzike kidogo huku akinipa Mimi muda wa kujitathimini na yeye kujitathimini.
Sasa naombeni ushauli kipindi cha kujitafakari nini cha kufanya kwani mahusiano yenyewe yako rehani muda wowote yatavunjika?