Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Naombeni ushauli wenu wana JF
Hivi mtu ukishagundua mpenzi kabadilika kitabia hayupo kama zamani alafu kila ukijitahidi kumrudisha kwenye mstari unamuona kama amekuwa mzito
Ni kitu gani cha kufanya ukishagundua upande wa mwenzangu anaonesha dalili zote ameshabadilika hayupo kama zamani ukiangalia jinsi alivyokuwa anakufuraia, jinsi mlivyokuwa mkichati, jinsi mlivyokuwa mki hangout na mambo mengine sasa ni nini cha kufanya ukigundua dalili hizi?
Hivi mtu ukishagundua mpenzi kabadilika kitabia hayupo kama zamani alafu kila ukijitahidi kumrudisha kwenye mstari unamuona kama amekuwa mzito
Ni kitu gani cha kufanya ukishagundua upande wa mwenzangu anaonesha dalili zote ameshabadilika hayupo kama zamani ukiangalia jinsi alivyokuwa anakufuraia, jinsi mlivyokuwa mkichati, jinsi mlivyokuwa mki hangout na mambo mengine sasa ni nini cha kufanya ukigundua dalili hizi?