Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Nimesoma thread iliyoandikwa kuwa " Filikunjombe afanya makubwa Ludewa " hii imekuja kutokana na Mbuge huyu kijana kutoa gari la kubebea wagonjwa la Tsh mil 90.
Naomba tuangalie kwa kina Wabunge wengine wamefanya nini tangu walipo chaguliwa hadi sasa ili kuwaletea wananchi maendeleo ikiwa ni pamoja na kutimiza baadhi ya ahadi alizo ahidi kipindi cha kampeni.
Mfano SUGU - Mbeya Mjini ( CHADEMA), Barabara nyingi za mitaani zina wekwa changalawe chini ya uongozi wake
Filikunjombe - Ludewa (CCM), Ametoa gari la wagonjwa na kuahidi kutoa zaidi kila kata ikiwa ni pamoja na kufuatilia ahadi ya Mh. Rais
NOTE: Hii itasaidiakujua nani hawajibiki kwa kutimiza ahadi zake kwa hiyo atapoteza nafasi yake 2015
Kumbuka siku njema huonekana tangu asubuhi
Naomba kuwasilisha
Naomba tuangalie kwa kina Wabunge wengine wamefanya nini tangu walipo chaguliwa hadi sasa ili kuwaletea wananchi maendeleo ikiwa ni pamoja na kutimiza baadhi ya ahadi alizo ahidi kipindi cha kampeni.
Mfano SUGU - Mbeya Mjini ( CHADEMA), Barabara nyingi za mitaani zina wekwa changalawe chini ya uongozi wake
Filikunjombe - Ludewa (CCM), Ametoa gari la wagonjwa na kuahidi kutoa zaidi kila kata ikiwa ni pamoja na kufuatilia ahadi ya Mh. Rais
NOTE: Hii itasaidiakujua nani hawajibiki kwa kutimiza ahadi zake kwa hiyo atapoteza nafasi yake 2015
Kumbuka siku njema huonekana tangu asubuhi
Naomba kuwasilisha