Avatar ya chinchilla coatHizo message za hivyo huwa zinanikera sana
we noooma sana!Yaani tabia hiyo inakera hasa hivi videmu vya mwendokasi vyanachuo au vilivyo graduate..!
Mfano hiki kimoja nakifukuzia nacho kinaandikaga hivyo sema naogopa kukaambia ngoja hiyo kesho ifike nikakatafune kisha nikape ukweli kasiwe kanaandika kifesibuku..!!!
Nyaambafff.!!!
duuhh hao nao wanakera kinyamaNachukia jitu linalochat kwa heruf kubwa yn kwangu ni bora hata huyo wa x x x kuliko anaetumia caps
Hata mimi huwa naiona kwake piaAvatar ya chinchilla coat
mm=mimiYaan mm ndio nilishaacha kujibu sms za hivyo. Ht kuna mtu nilimuacha kwsbb hiyo. Kwangu mm naona km ni utoto na ujinga.
kama ulikuwa kichwani mwangu, wanakera sana hawa nyau.Kama wewe ni Mwanaume,halafu nakutumia
message unanijibu kwa kutumia neno
Xawa, Xaxa, Xio, Xixi napenda kukutaarifu una dalili za
kuwa Mike Tyson wa Tanzania...How can you???
Kiswahili sahihi kipo tena rahisi tu, unashindwa nini
kusema Sawa, Sana, Sisi eti unatumia X...Kubwa zima,swagger zenu pelekeni huko huko, mnaiga
mambo yasiyo na msingi...Na hata wewe mwanamke
ukinitext Xawa, Xaxa sitakujibu...kama huwezi
kiswahili fasaha ulichofundishwa usinilete!Mambo
yenu ya tamthilia za marichui ziishie kwenu.Mnakera
mno na huu upuuzi!
Mungu bariki Kiswahili Fasaha!
Hizo utalinganisha na xaxa, xixi, xxta?mm=mimi
Ht=hata
kwsbb, km, yaan,
ugonjwa ule ule!! mna matatizo gani??
Eti ehh..!!!
Kubana matumizi