sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,368
Ni muda wa kazi nikiwa kwenye foreni ya kumuona mkuu wa wilaya flan nchini Tanzania,nmejikuta naamua kufatilia kauli walizozitoa watu mbalimbali katika tukio la kumuaga Isack Gamba.
Katika ili lazima nisime ukweli,siku ya jana niliitumia kuungana na mkuu wa Mkoa wa Mwanza kumuaga ndgu yetu Isack Gamba mkoani mwanza kuelekea Bunda kwa ajili ya kumaliza safari yake ya mwisho Duniani.
Wakati nikipitia kauli mbalimbali za viongozi,leo nikapata kumsikia Mh Mkuu wa Wilaya ya Handeni ndugu yetu Godwini Gondwe, hakika Mh huyu amekomaa sanaa katika utoaji wa hutuba mbalimbali ni mtu anae jua aseme nn na lini na wap?
Mh mkuu wa Wilaya moja ya kauli zake, anadai kuwa Isack Gamba aliwai kutekwa maeneo ya salenda jijini Dsm na alipo achiwa anilimpigia simu ili aje amuokoe, Gondwe anamtaja mkewe kuwa alimruhusu saaa nane amfate Isack na alimfata akmpeleka hosptal kumtibu,alipona na anadai watekaji walitaka hasiende Huko marekani.
Sawa alitekwa akaachiwa akatibiwa,akapona na akaenda Marekani leo anarudi amekuf tena ghafla kwa nn UsalamA wa taifa msiamzie hapo?
Katika ili lazima nisime ukweli,siku ya jana niliitumia kuungana na mkuu wa Mkoa wa Mwanza kumuaga ndgu yetu Isack Gamba mkoani mwanza kuelekea Bunda kwa ajili ya kumaliza safari yake ya mwisho Duniani.
Wakati nikipitia kauli mbalimbali za viongozi,leo nikapata kumsikia Mh Mkuu wa Wilaya ya Handeni ndugu yetu Godwini Gondwe, hakika Mh huyu amekomaa sanaa katika utoaji wa hutuba mbalimbali ni mtu anae jua aseme nn na lini na wap?
Mh mkuu wa Wilaya moja ya kauli zake, anadai kuwa Isack Gamba aliwai kutekwa maeneo ya salenda jijini Dsm na alipo achiwa anilimpigia simu ili aje amuokoe, Gondwe anamtaja mkewe kuwa alimruhusu saaa nane amfate Isack na alimfata akmpeleka hosptal kumtibu,alipona na anadai watekaji walitaka hasiende Huko marekani.
Sawa alitekwa akaachiwa akatibiwa,akapona na akaenda Marekani leo anarudi amekuf tena ghafla kwa nn UsalamA wa taifa msiamzie hapo?