Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Kwa heshima ya Mziki wake hapa nchini laiti ningekuwa P Funk (majani) ningeipumzisha Mike aliyokuwa anaitumia Ngwair kuingiza vocal zake pale Bongo Record
Ningetafuta site nzuri, Sanduku la kioo na kuiifadhi humo ili kila mwenye nia ya kutaka kuitazama na aje aitazame mike iliyoingiza Vocal ya Mikasi.
Vivyo hivyo ningekuwa Marco chali ningeipumzisha mike aliyokuwa anaitumia King Zilla(God zilla), Na kuipa heshima kubwa pale studio,
Watanzania tujifunze kutoa heshima kwa watu flani katika jamii yetu,
Tuwe na utaratibu wa kuifadhi history.
Ni jambo dogo ukilichukulia kwa juu juu lakini kama p funk majani atalitazama kwa Future basi litaleta maana kwa sababu kwa kuipa heshima Mike tu ya Ngwair,Huko miaka kenda inaweza kuuzwa kwa madolali ya kutosha.
Wazungu wameshatupita kwa hili.
Cc Zero IQ
Ningetafuta site nzuri, Sanduku la kioo na kuiifadhi humo ili kila mwenye nia ya kutaka kuitazama na aje aitazame mike iliyoingiza Vocal ya Mikasi.
Vivyo hivyo ningekuwa Marco chali ningeipumzisha mike aliyokuwa anaitumia King Zilla(God zilla), Na kuipa heshima kubwa pale studio,
Watanzania tujifunze kutoa heshima kwa watu flani katika jamii yetu,
Tuwe na utaratibu wa kuifadhi history.
Ni jambo dogo ukilichukulia kwa juu juu lakini kama p funk majani atalitazama kwa Future basi litaleta maana kwa sababu kwa kuipa heshima Mike tu ya Ngwair,Huko miaka kenda inaweza kuuzwa kwa madolali ya kutosha.
Wazungu wameshatupita kwa hili.
Cc Zero IQ