katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
Ningekuwa mwanaume ningeoa wanawake wengi.
Ningezaa na wengi na pia ningeshindikana kabisa kwa tabia mbovu ya umalaya nakula naacha nachuna sana napia sipendi kuhonga .
Ningekuwa napeleka wadada guest nakuwaacha huko sijalipa tena wale wanaotegemea mtelezo ndio wangelia kabisa.
Ningekuwa tegemezi ila kwangu kama MALAIKA.
nahudumia vyema tu kuanzia wife mpaka watoto.
HUYU NDIO KATOTO KAZURI KATIKA MTAZAMO WAKE .
KAMA ANGEKUWA MWANAUME
Ningezaa na wengi na pia ningeshindikana kabisa kwa tabia mbovu ya umalaya nakula naacha nachuna sana napia sipendi kuhonga .
Ningekuwa napeleka wadada guest nakuwaacha huko sijalipa tena wale wanaotegemea mtelezo ndio wangelia kabisa.
Ningekuwa tegemezi ila kwangu kama MALAIKA.
nahudumia vyema tu kuanzia wife mpaka watoto.
HUYU NDIO KATOTO KAZURI KATIKA MTAZAMO WAKE .
KAMA ANGEKUWA MWANAUME